Hivi lakini kuna possibility ya kuingia bila refa ? Watoto wa wakulima hapo inakuaje? Tuombe mungu. Lakini nasikia kuna watu walishaitwa kimyakimya tarehe 15/08/2014
HIVI JAMANI WADAU HIZI AJIRA ZA NSSF VIPI? MBONA KIMYA SANA TOKA DEADLINE TAREHE 25/07/2014 AU NDO TAYARI WATU WAMESHAITW KAZINI? MICHAKATO YAO SIIELEWI KABISA LABDA KAMA KUNA MWENYE TAARIFA.
NAOMBENI INFO
:angry:
Wada vipi? Hivi kuna mtu mwenye info kuhusu interview za good neighbors international shinyanga nafasi za operation officers. Wameshaita interview? Sina taarifa wadau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.