Wana jamii naomba mnisaidie, kuna baadhi ya maswali nimekutana nayo kwenye interview nimeshindwa kabisa kulijibu.
1.unataka tukulipe shilingi ngapi?
2.kwanini tukuchague wewe baada ya wengine?
maswali hayo tu wapendwa naomba msaada
Afadhali tarehe ya kuripot NIT 28 november 2016 manake kama kuandamana kuhusu mkopo watakuwa wameandamana sanaa na kitakuwa kimeeleweka.
Kuona ratiba nzima, Bonyeza HAPA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.