Recent content by ngishu

  1. N

    TAKUKURU mnalijua hili?

    Sikuweka dini kwa bahati mbaya: fedha na dini ndizo zinazotumika kila moja kwa njia na walengwa wake
  2. N

    Wamasai wa Ngorongro waapa kulia na waziri mkuu

    Ngorongoro ambayo kuna watu takriban 87,000 inasadikiwa kuwa asilimia 3 ya watu wote wanamiliki mali na utajiri wote. Pinda hataweza kufanya lolote kusaidia asilimia 97 ya watu walio maskini wa kutupwa.
  3. N

    TAKUKURU mnalijua hili?

    Ole Sendeka ameingia kwenye sakata hili kwa recommendation ya Kinana kwa sababu ya kelele zake bungeni na kwa sababu pia ni Maasai. Wanajua kuwa Ole Sendeka hataweza kupiga kelele na kupinga hoja ya OBC bungeni, lakini pia atatumika kushawishi wamasai watulie
  4. N

    TAKUKURU mnalijua hili?

    TAKUKURU naomba muisome hicho kipande na mjiulize mtachukua hatua gani? Important information for the Hon Prime Minister! I just learned that you will be visiting Ngorongoro District this month of September and possibly talk about the land problems. As someone who has been there to...
Back
Top Bottom