Wakuu niaje??
Me mchakato wangu umeshapita kwenye hatua zote kama mnavyo ona hapo...
Lakini Claim status bado inasoma approved na bank hakuna kitu, shida inaweza kua nn hapo?
Wakuu me kwangu inaonyesha claim payment imetikiwa jana tarehe 22 October ila status bado na soma Claim approved na sms ya bank bado, shida inaweza kua nn hapo??
Niliajiriwa kwenye kampuni binafsi kama tally clerk na baadae nikajifunza funza wakani badilisha position nikawa nafanya kama Data entry Clerk na jumla kazi nilifanya kwa miaka 5
Mwaka huu mwezi wa 6 mkataba umeisha na nikaamua kufungua madai nssf na kukamilisha mchakato wote na kutia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.