Recent content by ngenya

  1. ngenya

    PostGE2025 Ujumbe wa Rais Samia kuhusu Maadhimisho ya Sikukuu ya Uhuru Desemba 9, 2025

    Ana haraka gani kwani si asubiri kesho? Huku ni kuchanganyikiwa.
  2. ngenya

    TCRA mmepata faida gani kuifungia JamiiForums? Acheni kuwa na maamuzi ya mihemuko

    Mimi natumia VPN tu siku zote so nilikuwa live muda wote.
  3. ngenya

    Toka X

    Amani bila haki ni kiinimacho.
  4. ngenya

    Angalieni wanawake mnaowaoa je ame sha move on on huyu ukimuo unategemea nini?

    Kila mwanamke niliyemwacha huwa anasema kachukia wanaume wote, ni porojo tu.
  5. ngenya

    Nahitaji mashuka ya Silk

    Usisahau ulikotoka mkuu, utamaduni ni muhimu.
  6. ngenya

    Nahitaji mashuka ya Silk

    Yale ya kudarizi maua ya Kigoma huyataki tena?
Back
Top Bottom