Recent content by Ngengemkenilomolomo

  1. Ngengemkenilomolomo

    JamiiForums Tanzania Nicodemus amekamatwa na watu waliojitambulisha kuwa ni askari wakiwa na nguo za kiraia

    Kwahyo yale maagizo aliyotoa yangachawene yalikua ni maigizo kwamba ni marufuku kukamata watu ukiwa na nguo za kiraia
  2. Ngengemkenilomolomo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume ya Jaji Chande yaomba wananchi watume taarifa za uvunjifu wa amani zilizotokea wakati wa uchaguzi

    Tunaijua hyo Utume alaf waanze na ww kwamba kumbe ww ndo ulimtumia madowo Wajitafutie
  3. Ngengemkenilomolomo

    JamiiForums Tanzania Ummy Mwalimu: Taarifa za kuzuiliwa kwangu kwenda Nje ni uzushi na zipuuzwe nipo “OK”

    Ni kama tuu barua ya ndugai tuliambiwa kaandika yeye kumbe maelekezo
  4. Ngengemkenilomolomo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hata kipindi cha Hayati Magufuli alitokaga Waziri Mkuu akadai yupo mzima na anachapa kazi

    wage wage ushampanda samuya kikala😆😆
  5. Ngengemkenilomolomo

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wenu

    Bila shaka ww ni mchaga kwel mshua anazingua pakubwa sana ila kumsema et anakula sana wala sio unyama kumbuka kakulea tang ukiwa 0 year mpk sasa una familia na unaish mambele unajua ulipokua mdg ulikua na tabia gn ambazo hajawah kukwambia? tafuta alternative ambayo haitomfanya ahisi unamtenga
  6. Ngengemkenilomolomo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ukimya wa Jeshi la Polisi kuhusu mauaji ya MC PILIPILI

    Nchi ya kifalme wakija kukukamata wanaangalia jina lako la mwisho kwanza
  7. Ngengemkenilomolomo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Serikali ya Tanzania yajibu matamko EU, Marekani na mashirika ya kimataifa

    Genius gan pale chama chakavu Kama mnamuacha mtu kama ummy mwalim,hersi said alaf mnamchukua babu tale na baba levo huo ni utahaira
  8. Ngengemkenilomolomo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Serikali ya Tanzania yajibu matamko EU, Marekani na mashirika ya kimataifa

    Hawezi kuja mda huu yupo anabubujikwa na machozi
Back
Top Bottom