Watanzania tuamke... Kuingiza siasa tunapozungumzia maslahi ya Taifa nadhani ni Upumbavu
Nampongeza Mh. rais kwa hatua anazochukua kwa wahujumu wa maliasili za Taifa.
Wanaopinga.... Wapinge coz WAPo #br ney
Duh.. Sikujua na wala sikutegemea Kama issue za kitaifa zinaweza kujadiliwa kwa itikadi za vyama (BAVICHA... UVCCM), bora mkatike vichwa.
Hili ni suala la kitaifa tuache ushabiki wa kijinga....
Binafsi nampongeza rais kwa uthubutu wake ktk hili, coz sasa tumepata sehemu ya kuanzia ktk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.