Bila shaka ni kwamba tunahitaji dira ya maendeleo itakayotuongoza kwa kipindi cha muda fulani,ili kufikia Malengo thabiti yenye maslahi mapana kwa nchi.
je tuna sera imara ambazo zitawabana viongozi na watoa maamuzi ili waende sambamba na Dira hiyo bila kukiukwa??! jibu ni HAPANA.
UWAJIBIKAJI...
Ni wazi kwamba Ajira kwa vijana imekuwa ni kilio kwa kila Familia hapa nchini.
Na hata kuwa Agenda/Fursa kwa wanasiasa pia.
Ila mwiba wa hicho kilio kinapaswa pia kianzie na sera madhubuti zilizoboreshwa zinazolenga kutatua changamoto hii.
BBT KWA KILA WILAYA
~• mradi huu wa Building Better...
Utangulizi.
Nadhani sisi sote ni wafuasi wa imani fulani maishani.Either iwe ya kidini ama ya kifikra zaidi(scientific). Na hizi Beliefs system ndizo sana sana zinatuongoza maishani mwetu juu ya kile kipi tunafanya kila siku.
Mada.
Kwa Africa Uislamu-uliletwa na waarabu kipindi cha ukoloni na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.