Recent content by Ngatelefijo

  1. N

    Nauza Pikipiki

    nami ninayo sanlg namba c nauza laki 8 kama unataka 0784791233 picha siwezi kuiupload ila kama mteja wa kweli atanitafuta tu au tutawasiliana nae
  2. N

    Nauza tv inch 21 na inch 18

    Wadau habari zenu nina tv 2 zimekaa tu ndani naziuza zina hali nzuri naweza sema ni kama mpya. Hiyo ya inch 21 ni singsung nyuma ina chogo lkn mbele flat stand yake yakuzunguka inatakiwa laki na nusu na hiyo inch 18 ni kama hiyo kubwa lkn yenyewe inatakiwa laki moja. Kwa yeyote anicheki kwa...
  3. N

    Natafuta kiwanja

    Natafuta kiwanja maeneo ya Kibaha au mlandizi au kongowe . Yeyote aliyenacho tuwasiliane anipe mawasiliano
  4. N

    JINSI YA kULALA WAKATI WA MAPENZI.

    Naomba kuuliza kwa wanaojua, ulalaji wa style ktk mapenzi unaweza kusababisha kutoshika mimba?
  5. N

    Msaada wapendwa

    Naombeni ushauri jamani nipo kwenye ndoa nina mwaka sasa natafuta mtoto na mke wangu imekuwa ngumu,nimepimwa sperms zipo poa na yeye kapigwa ultrasound yupo poa, mpaka najiuliza labda tunakosea kujua siku za hatari zakushika mimba,naombeni ushauri na kujuzwa siku za hatari.
  6. N

    Msaada wadau nisaidieni

    unajua jamani nipo serious na ndo maana nimeomba msaada lkn huo ulionipa sio msaada bali ni uangamizaji na ukatishaji tamaa
  7. N

    Msaada wadau nisaidieni

    lkn kaka wi-fi inayo nimeicheki ila nikicrik inaandika no wi-fi application found, msaada kaka
  8. N

    Msaada wadau nisaidieni

    asante Kamanda kazi, sasa kwa hapa dar wapi nitapata wakala wa samsung kama unajua walipo naomba nielekeze
  9. N

    Msaada wadau nisaidieni

    nipo dar nitakushukuru sana namba yangu ni 0753979050
  10. N

    Msaada wadau nisaidieni

    Wadau naomba msaada nina simu yangu SAMSUNG WAVE 3 GT-S8600, Ni simu kali lkn haikamati internet,fb, na whatsap naambiwa hamna nimeenda mpaka vodashop wananiambia haiwezi kuwa na program hizo naombeni msaada wadau ninapoweza kuelekezwa kwa wataalam zaidi kwa msaada yani ninaipenda sana simu hii...
  11. N

    Nauza carina

    Wadau nauza carina si rangi ya silver ipo vizuri sana ya mwaka 2001
  12. N

    Msaada jamani

    thanx, kwani ti cc ngapi na vipi ulaji wake mafuta
  13. N

    Msaada jamani

    Wadau naomba ushauri kuna gari nataka kununu aina ya CARINA SI YA 2001 CC 1762 wataalam naombeni ushauri service,spare,ulaji mafuta na mengine ushauri wadau
  14. N

    Rangi ya mwaka 2014

    thanx mkare
  15. N

    Rangi ya mwaka 2014

    kijani na karoti
Back
Top Bottom