Jamani naomba niseme hivi October 2015 sio mbali ila ukweli lazima usemwe.. CHADEMA wanao uwezo wa kushinda Arusha bila hata kampeni na huu ndio ukweli
Mwigulu huna maaana.., wewe ni mmoja wa washirika wa kumrubuni kijana wa watu sasa yamemkuta mnaleta huruma zenu...nasema mchukueni akalete mabadiliko katika chama chenu cha mafisadi ambao mnashindwa kutoa adhabu kwa wezi wa mali za umma hadi wanaonyesha kiburi
Sipendi kutukana lakini kwa hili wacha niseme.,,
Polisi wa Tanzania ni pumbavu sana.,, mnakubalije kutumika kipumbavu namna hii na kuandaa sinema zisizo na kichwa wala miguu.?
Polisi mnatumika kisiasa il kuzuia makongamano ya katiba mpya., mikutano ya vyama vya siasa .,, nk
Kuna uwanja wa KIA serikali inachotakiwa sio kufuta land fees bali ni kupunguza.,, kuna ndege kubwa zinatua pale ila hazikai kwa sababu ya gharama..
Pale KIA kunahitaji mabiresho.,, uwanja ufanyiwe marekebisho
KIA kuwepo na hoteli hata moja ya kitalii ya kisasa
Gharama za getini kuingia...
Kwa taarifa yako, ushindi wa mezani wa magamba ulipangwa ...katika mapingamizi zaidi ya 2000., mapingamizi yaliyo halali hayazidi 500..hivi unajisikiaje kuona Ngara ambayo ilikuwa Magambani kwa zaidi ya asilimia 90 mwaka 2009 na sasa hivi Magamba wana asilimia 10 ...kushangilia ni haki yangu
Yaani leo BIG SHOW umetoa madini hivi ujiulizi kwanini akina Msalani, laki si pesa na wengine hawapo humu?
Umezungumza ukweli mtupu..leo umezungumza ukweli CCM ndio laana tulionayo watanzania jaribu kutoa elimu hasa kwa watu wa vijijini hawajielewi mtu akipewa elfu mbili na gongo anauza...
Sikiliza wewe Gamba.. hivi ulishawahi kwenda kwenye chumba cha mtihani ukijua kwamba mtihani ni Chemistry lakini ukiingia unakuta Biology..sasa ndicho kilichopo bungeni..
Kwa taarifa yako Gamba tayari vifungu muhimu vimetolewa kama kumwajibisha mbunge kabla ya miaka 5 kumalizika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.