Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,464
- 40,965
Huu ujinga wa CCM na serikali yake haulisaidii Taifa hata kidogo.
Inapofikia CCM na serikali kwa kulitumia jeshi la polisi kutengeneza matukio ya kigaidi kwa nia tu kupata uhalali wa kuzuia mikutano ya vyama vya upinzani, tunajiuliza hii CCM kweli ni chama cha siasa au chenyewe ni kikundi cha kigaidi? Hivi hii serikali yetu inaongozwa na watu wa namna gani?
Pamoja na tamaa ya CCM kutamani sana kubaki madarakani, mbinu hii na zile.za kushambulia, kujeruhi na kuua watu wanaohudhuria mikutano ya vyama vya upinzani siyo mbinu inayokubalika hata kidogo kwa jamii iliyostaaribika.
Inapofikia CCM na serikali kwa kulitumia jeshi la polisi kutengeneza matukio ya kigaidi kwa nia tu kupata uhalali wa kuzuia mikutano ya vyama vya upinzani, tunajiuliza hii CCM kweli ni chama cha siasa au chenyewe ni kikundi cha kigaidi? Hivi hii serikali yetu inaongozwa na watu wa namna gani?
Pamoja na tamaa ya CCM kutamani sana kubaki madarakani, mbinu hii na zile.za kushambulia, kujeruhi na kuua watu wanaohudhuria mikutano ya vyama vya upinzani siyo mbinu inayokubalika hata kidogo kwa jamii iliyostaaribika.
mimi nawashangaa sana humu jf.watu wana comment kama sio wasomi.nn maana ya great thinkers.hiv ccm wafanye kwa lipi na kwa kumuogopa nan hasa.mbona mnafikir kutumia makalio.