Recent content by ngarawatch

  1. N

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Adventure na tikects online

    Ila hawa jamaa usanii mwingi vinginevyo hadi kufikia sasa wangekuwa wamepiga simu au kutoa taarifa za kuomba radhi. Ukiingia katika portal uao sasa hivi, basi hilo linaonekana limejaa( na siti yangu ikiwemo) na pengine liko safarini!
  2. N

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Adventure na tikects online

    Waache wale. Ila yale maziwa ya pale Makere karibu na kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu ni noma....
  3. N

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Adventure na tikects online

    Najiuliza, zile namba za simu wanazodai wakati wa kukata ticket wanazifanyia nini?
  4. N

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Adventure na tikects online

    Biashara kwa kiroba tu!. Na hawa wasukuma nao wapo wa kutosha ndani ya basi, bila shaka mapori yaliyokuwa yakitumika kama maficho ya majambazi, yamekwisha.
  5. N

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Adventure na tikects online

    Mkuu. Hongera yaelekea ni mwenyeji wa maeneo haya. Hata hivto, chukua maneno yangu, kukamilika kwa barabara ya Kigoma Nyakanazi na ujio wa SGR,hao wababe watabaki historia
  6. N

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Adventure na tikects online

    Tuko Katoro sasa Najiuliza hivi kwanini abiria wa njia hii wanasagiri na mizigo mingi hivi. Huyu jiranii yangu kaingia na kiroba cha dagaa, harufu yake sio mchezo.
  7. N

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Adventure na tikects online

    Ni suala la.muda tu kabla mambo haya hayajamalizika. Ukishindwa kwenda na mabadiliko, mabadiliko yatakubadilisha.
  8. N

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Adventure na tikects online

    Ni Jumanne saa 4 asubuhi unahitaji kusafiri siku inayofuata ya Jumatano August 14,2024, ķutoka Mwanza kwenda Kigoma! Unaingia katika mtandao kutafuta usafiri. Jina la kampuni maarufu inayofanya safari zake njia hiyo, linakuja Adventure. Unaamua kufanya Adventure kwa kutumia mabasi yao...
  9. N

    JamiiForums Tanzania Kipindi cha Mashindano ya kumsifia Rais cha Star TV ni uthibitisho wa ujinga wa Mtanzania

    Majuzi Jaji Warioba kaeleza ukweli kuhusu vyombo vya habari na waandishi Tanzania. Ni Machawa, Wenye vipindi kuhusu familia na kutenga muda mwingi kujadili mambo yasiyolisaidia taifa. Inasemwa wajibu wa vyombo vya habari ni kuhabarisha, kuburudisha na kuelimisha. Sasa tazama au sikiliza...
  10. N

    JamiiForums Tanzania Kiwanja cha shule iliyoanza miaka 40 iliyopita, Ngara chatwaliwa.

    Lingekuwa jambo jema. Lakini nani wa kufanya hivyo?
  11. N

    JamiiForums Tanzania Kiwanja cha shule iliyoanza miaka 40 iliyopita, Ngara chatwaliwa.

    Kila kheri mkuu. Nafahamu wenyeji wa Ngara wengi wenye Influence wako Dar lakini, waonekana kusahau kwao.
  12. N

    JamiiForums Tanzania Kiwanja cha shule iliyoanza miaka 40 iliyopita, Ngara chatwaliwa.

    Pambana, Bro wadogo zako wapate tena kiwanja chao ili wajenge afya, kukuza vipaji na kujenga urafiki. Waambie viongozi wako wachukue hatua
  13. N

    JamiiForums Tanzania Kiwanja cha shule iliyoanza miaka 40 iliyopita, Ngara chatwaliwa.

    Imeunguruma tangu tangu 20017, alipojitokeza mmiliki wa sasa.
  14. N

    JamiiForums Tanzania Kiwanja cha shule iliyoanza miaka 40 iliyopita, Ngara chatwaliwa.

    Ndugu. Wakati mwingine huo unaoitwa utawala wa sheria hutumiwa na wajanja kupindisha maamuzi ili kupendelea upande mwingine. Tatizo hapa ni uongozi wa wilaya kukaa kimya kana kwamba hakuna kilichotokea.
  15. N

    JamiiForums Tanzania Kiwanja cha shule iliyoanza miaka 40 iliyopita, Ngara chatwaliwa.

    Mkuu, nisaidie namba ya waziri husika
Back
Top Bottom