Recent content by ngara

  1. N

    Mambo ya weekend parting

    kwa nini wasichana msivae nguo za kujisitiri miili yenu? mbona mnajiachia hivyo? hamuoni wanaume walivyovaa kiheshima? Hebu jiheshimuni mnatuaibisha wanawake wenzenu.
  2. N

    Wabunge wa CHADEMA watoka nje kususia hotuba ya Rais Kikwete

    Mmh! lakini jambo lililofanyika pale bungeni ni utovu wa nidhamu kwa mamlaka iliyoko madarakani.
  3. N

    GE2010 Deogratias Ntukamazina, nuru mpya ya wana Ngara!!

    Ndugu Ngongo mbunge wetu Ngara aliwahi kuwa Katibu mkuu wa utumishi, Ndugu Rutanga aisee kweli wewe umenisikitisha sana hivi wewe pole kwa kuwa na chuki moyoni kiasi hiko kwa mbunge wetu, hivi hiko kiharusi ulimpa wewe? pleease hizo sala zako za kumuombea mbunge wetu zishindwe katika jina la...
  4. N

    GE2010 Deogratias Ntukamazina, nuru mpya ya wana Ngara!!

    hivi ndugu mwakyembe hawezi kuitwa mzee, au what is your definition ya mzee? naona ume misquote maana ya mzee, mimi nina maana mzee ni mtu mzima yeyote
  5. N

    GE2010 Deogratias Ntukamazina, nuru mpya ya wana Ngara!!

    Jamani msikariri chagueni watu msichague Chama, je kina Mwakyembe ni mafisadi? si wako CCM, chagueni watu na wapimeni sio mnapima Chama
  6. N

    GE2010 Deogratias Ntukamazina, nuru mpya ya wana Ngara!!

    Ndugu Dreamer, usikariri, angalia mtu binafsi usiangalie chama, je kina Mwakyembe si wako CCM au na wao unawaita mafisadi?
  7. N

    GE2010 Deogratias Ntukamazina, nuru mpya ya wana Ngara!!

    Dotto ni CCM, ni kweli ndugu mwana ukweli, lakini ninavyomfahamu mimi ni mtu anayelaani ufisadi na alikuwepo serikalini pia lakini hakujihusisha na ufisadi. Hivyo cha muhimu ni kumuombea asaidie kuleta maendeleo ya Ngara ili na wana Ngara waweze kufarahia matunda ya watoto wao kama wilaya...
  8. N

    GE2010 Deogratias Ntukamazina, nuru mpya ya wana Ngara!!

    Napenda kuwapongeza wana Ngara kwa kutumia vizuri haki yao ya msingi kumchagua mzee wetu mpendwa ndugu Deogratias Ntukamazina. Tuna uhakika mzee huyu atatumika vizuri kuleta maendeleo ya Ngara na taifa kwa ujumla. Mungu ibariki Tanzania.
  9. N

    GE2010 Jimbo la Ngara: Mgombea wa CCM matibabuni; wapambe wamnadi kwa picha!

    Ndugu wana Jamii Forum, habari za kwenu. Jamani nimesikitishwa sana na hii habari ya mbunge wa Ngara kwamba ni mgonjwa mahututi, hivi mnataka tuelewe kwamba hizi habari za humu ndani hazina uhakika? Mimi nikiwa mtu wa karibu na mzee Ntukamazina tumesikitishwa sana na hizi habari za uzushi na...
Back
Top Bottom