Recent content by Ngamanda

  1. N

    Zanzibar imemtangazia nani kwamba ina maeneo yake Bagamoyo?

    Mmeshindwa kumiliki ardhi huku bara ambayo zimejaa Tele! Mnataka kumiliki ardhi Zanzibar ambayo nayo haiwatoshi wao! Kweli hiyo ni akili. Njoo Kisegese wilaya ya Mkuranga mkoa wa wani - ekari moja laki mbili! Utakataa ila unataka upate ardhi Zanzibar! kweli huo ujanja? Niambie ni Msukuma yupi au...
  2. N

    Zanzibar imemtangazia nani kwamba ina maeneo yake Bagamoyo?

    Mbona watu mna kuwa na mihemko isiyokuwa na maana..? Sikia haya: Ubalozi wa Vatican umeonya watu wanao vamia kiwanja chao Dodoma: Kanisa Katoliki limemega eka 10 na kujenga nyumba kutoka kwenye shamba lao lenye eka elfu sita! Bakwata imekwenda mahakamani kudai shamba lake huko Moshi: mwekezaji...
  3. N

    Zitto Kabwe: Katika ndege 12 alizonunua Hayati Magufuli, ndege 6 hazifanyi kazi, ziko grounded, zina kutu, ingawa tuliambiwa ni mpya

    Lazima tukosoe mpaka JPM narudi awajibike! Tusipo mlaumu kila wakati, atakataa kurudi!
  4. N

    Waziri wa Sweden akisubiri garimoshi (treni) kurejea Nyumbani mara baada ya kutoka kazini

    Usikute huyo waziri anasubiri trein ili aende kumuona mshikaji wake!
  5. N

    Viongozi wa Tanzania wake zao wanaenda kuzalia Marekani

    Watoto wa Diamond siyo raia wa South Africa. Kuzaliwa South Afrika na wazazi wageni, haukupi automatic South Africa citizenship!
  6. N

    Kampuni Kutoka China Kujenga Daraja la Dar- Zanzibar

    Huenda Private partner ni Azam!
  7. N

    Bwawa la Nyerere linajaa likiambatana na faida kibao

    Hao wakina Azory, Saanane ni sehemu ya statistics ya Lumumba, Sankara, Stive Biko, Kanyama Chiume, Tongongara, Josia Mwangi Kariuki, Chris Hani, Olof Palme etc. Hawazuii nchi kusonga mbele!
  8. N

    Bwawa la Nyerere linajaa likiambatana na faida kibao

    Hapo mleta mada alikuwa anakuelewesha wewe kwamba kuna viongozi wengi wanaotenda au kutamani kutenda kama JPM! Yaani JPM alikuwa kiongozi mwenye maono " Yasiyoyumbishwa" na alijua anataka kufanya nini na kwa sababu gani! Ni hilo, nafikiri sasa umeelewa - jitahidi.
  9. N

    Nashauri Wagombea Urais wawe wamepitia Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC)

    NDC ni nini? Au ni National Development Corporation? Kumbuka siyo kila mmoja atajua hivyo vifupisho vya majina! Unapotoa vifupisho jaribu kuweka Kirefu chake kwenye mabano!
  10. N

    Maaskofu Katoliki acheni kuunga mkono bomba la mafuta. Nchi za zilizoendelea zinaondokana na matumizi ya mafuta sisi ndio tunataka kuanza kuyachimba!

    Ozone layer ipo juu angani kwenye Stratosphere, hapa tulipo sisi na ulipopasema kwamba India kuna ukungu watu hawaonani, ni sehemu inaitwa Troposphere. Uchafuzi wa troposphere, ni nadra kuingia kwenye stratosphere. Sasa katika stratosphere kwenye OZONE LAYER - oxygen molecules zina react na UV...
  11. N

    Maaskofu Katoliki acheni kuunga mkono bomba la mafuta. Nchi za zilizoendelea zinaondokana na matumizi ya mafuta sisi ndio tunataka kuanza kuyachimba!

    Swala la Ozone layer depletion siyo issue tena! Imetengenezwa. Imetengemaa kwa sasa.
Back
Top Bottom