Nadhani wazazi au walezi kwenda na watoto wadogo kwenye mkusanyiko mkubwa kama huu ni kukosa busara.Watoto wangeweza kuachwa nyumbani waangalie through TV.Kwa hali hii ya COVID 19 hata watu wazima wangeshauriwa wengine wabaki nyumbani waangalie through TV ili kuepusha matatizo yasiyo na ulazima.
(1) Deep fryer inayotumia gesi yenye container mbili zenye ujazo wa Lita 6 kila mmoja bei tsh 150,000/=(fixed)
(2) Oxygen cylinder tsh 160,000/=
Simu: 0735327523 DSM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.