Recent content by Nevigeneral

  1. N

    Rwanda kuwa ya pili EAC kurusha satellite baada ya Kenya

    Kushirikiana pia na watu wenye akili inahitaji akili pia Sijui umeelewa ?
  2. N

    Katika kufunga mwaka 2023 karibu tushirikishane bidhaa na HUDUMA za PROMOSHENI

    Hizi hapa meza za tv za kijanja Tsh 90,000 tu free delivery dar Tsh 115, 000 mikoani pamoja na gharama za usafiri malipo Ni baada ya mzigo kukufikia 24hrs - 72hrs 06584570
  3. N

    Katika kufunga mwaka 2023 karibu tushirikishane bidhaa na HUDUMA za PROMOSHENI

    Hii hapa Ni sofa inauzwa 160,000 Free delivery in Dar Mikoani 185,000 pamoja na gharama za usafiri unaletewa popote ulipo Tz 24hrs - 72hrs 0613584570
  4. N

    Je, wajua biashara na huduma nyingi zinakufa kwa kukosa mifumo bora ya kuzisimamia?

    Kwa wale mnaohitaji Mfumo wa KUFUNGIWA moja kwa moja , tunakufungia pia kwa Jina la biashara yako
  5. N

    Je, wajua biashara na huduma nyingi zinakufa kwa kukosa mifumo bora ya kuzisimamia?

    Sijakupata mkuu Ila management Ni moja ya Jambo muhimu katika kukuza biashara na kampuni yoyote Na Mfumo Ni moja Jambo muhimu katika usimamizi Bora Hata uwe na mtaji mkubwa kiasi gani bila usimamizi kwa Mfumo mzuri kampuni lazime ifeli
  6. N

    Je, wajua biashara na huduma nyingi zinakufa kwa kukosa mifumo bora ya kuzisimamia?

    Ukihitaji jumla pia mkuu tunakutengenezea bila shida Tumejaribu kuweka mazingira ya kila MTU kuweza kutumia Mfumo kwa gharama ndogo kabisa Ukihitaji jumla Kuna gharama za WAKATI mmoja Au Mkataba wa kulipia kidogo kidogo kwa awamu Lakini Kumbuka kuna gharama ambazo utalipia pia kila Mara...
Back
Top Bottom