Kwa hakika ingetufaa sana wadau.
Wakiwa na utashi wa kuongeza uwazi italeta faida kubwa kwa vyama kuliko wanavyowaza kuwa watapoteza. (nadhani wanawaza hivyo).
Nashauri vyama vya siasa kuwa na ubunifu wa kuwa na website ambapo mtu kupitia hiyo aweza kujiunga na chama cha siasa atakacho, na kupata Kadi ya Kimtandao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.