Recent content by NeutalPolitics

  1. N

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Vyama vya Siasa viweke nyenzo wanachama wajisajili Kidijitali

    Kwa hakika ingetufaa sana wadau. Wakiwa na utashi wa kuongeza uwazi italeta faida kubwa kwa vyama kuliko wanavyowaza kuwa watapoteza. (nadhani wanawaza hivyo).
  2. N

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Vyama vya Siasa viweke nyenzo wanachama wajisajili Kidijitali

    Nashauri vyama vya siasa kuwa na ubunifu wa kuwa na website ambapo mtu kupitia hiyo aweza kujiunga na chama cha siasa atakacho, na kupata Kadi ya Kimtandao.
Back
Top Bottom