Recent content by Nesto E Monduli

  1. Nesto E Monduli

    Mabasi ya Mwendokasi yatoa huduma bure kwa wakazi wa Dar kwa siku ya pili

    Kama umetumia mwendokasi leo asubuh,utagundua vituo vingi watu wamesafiri bure.Basi kutoka kwa chanzo cha kuaminika ni kuwa wakatisha tiketi wamegoma kwa sababu ya kutolipwa salaries na pia madereva wanapanga kugoma kesho.Sisi wa mbezi na kimara sijui itakuwaje.Serikali tafadhali ingilieni hii...
  2. Nesto E Monduli

    Hawa ndio Manabii na Mitume matapeli, tumechoka kuwavumilia sasa

    MBONA UMETAJA VIKAMBALE, PAPA WENYEWE UMEWAKWEPA???
  3. Nesto E Monduli

    Kumekucha Dar: Mwalimu St. Florence abainika kugeuza watoto kuwa wake zake, wazazi waja juu

    NO EVIDENCE ,NO RIGHT TO SPEAK, TUNAKOSEA SANA WATZ KTK KUHUKUMU TAARIFA ZA AWALI, YUKO WAPI MASAMAKI NA WENGINEO....TUNAPENDA SANA KUAMINI BREAKING NEWS KULIKO HABARI KAMILI. THATS WHY TUNACHEZEWA SANA NA PROPAGANDA ZA WANASIASA WETU....LETS THE LEGAL SYSTEM PROVE THIS
  4. Nesto E Monduli

    Haonga:Tatizo la Tanzania ni vipaumbele

    "Tatizo la taifa letu ni vipaumbele, tunasema tunataka kuboresha kilimo tunapeleka pesa kwenda kununua Bombadia". - Mbunge wa Mbozi Pascal Haonga
  5. Nesto E Monduli

    Deni la taifa laongezeka kwa shs tril 12 ndani ya miezi 3

    Kwa robo ya kwanza mwaka huu, Deni la Taifa limeongezeka kwa zaidi ya Sh. 12 Trilioni na kufikia takribani sh 60 trilioni, Ripoti ya Benki kuu inaonesha. #Mwananchi
  6. Nesto E Monduli

    AIRTEL: Utaratibu wenu wa kurenew line ni kero

    Au Wanabana matumizi, lakini Oysterbay Police ni kituo Kikuu cha mkoa wa Kinondoni.. Ha ha haa ,yajayo yanafurahisha!!! ..Eti wizara haina karatasi
  7. Nesto E Monduli

    AIRTEL: Utaratibu wenu wa kurenew line ni kero

    Utaratibu wa kurenew line ktk kampuni ya Airtel sijui nyingine no tabu kwani kuna mzunguko mkubwa ambapo utatakiwa uende jeshi polisi kupata ripoti ya upotevu ambapo pia ni kizungumkuti kwani mfano kituo Oysterbay Police unakuta unarudi nyumbani just kwa sababu risiti hakuna. Na pia ukifuata...
  8. Nesto E Monduli

    NSSF Ilala ni aibu: Licha ya msongamano lakini umeme umekatika dk 20

    may be, lakin kuna watu wakaambiwa wake kesho umeme hakuna.Ndo tunaenda hivyo
  9. Nesto E Monduli

    NSSF Ilala ni aibu: Licha ya msongamano lakini umeme umekatika dk 20

    mzigo wanatoa Ila ndo kwa kuminyana around mwaka na nusu
  10. Nesto E Monduli

    NSSF Ilala ni aibu: Licha ya msongamano lakini umeme umekatika dk 20

    Nimetoka katika ofisi za NSSF Ilala kwanza msongamano mkubwa huduma ni polepole na mpaka sasa umeme umekatika takribani dk 20 kuelekea ishirini na haujarudi. Wateja wanajiuliza vipi "backup" jenereta au mafuta yameisha kwani huduma zimesimama na hewa ni nzito. Ni aibu kwa kweli kwa Serikali...
  11. Nesto E Monduli

    Serikali: Kupeleka ubalozi Jerusalem ni kupingana na UN

    "Kupeleka ubalozi Jerusalem kunapingana na maamuzi ya Baraza la Umoja wa Mataifa, kwamba hii ni sehemu ya mgogoro mpaka mgogoro wa Palestina na Waisrael utakapofika mahali panaporidhisha ndipo watu tunaanza kufikilia kwenda kule, kwenda kule kichwakichwa tu kutakua kwanza unavunja makubaliano na...
  12. Nesto E Monduli

    Serikali yaunda baraza kuchunguza askari wa Tanzania aliyepotea Congo

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi ameziagiza familia za askari waliouawa wakilinda amani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kumaliza haraka taratibu za mirathi. Pia, amesema Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo amekwisha kuunda Baraza la...
Back
Top Bottom