Recent content by Nesi1

  1. N

    Mikopo ya hazina, Maafisa Utumishi wanaomba 10% ili waweze kupitisha

    tabora na uyui wamegawana zote wenyewe
  2. N

    Mikopo ya hazina, Maafisa Utumishi wanaomba 10% ili waweze kupitisha

    watu kimya maafisa wamegawana pesa zote kimya kimya
  3. N

    Mikopo ya hazina, Maafisa Utumishi wanaomba 10% ili waweze kupitisha

    tatizo nini au ndo maafisa utumishi wanachukua tozo?
  4. N

    Mikopo ya hazina, Maafisa Utumishi wanaomba 10% ili waweze kupitisha

    naona tabora uyui wote kimya?
  5. N

    NHIF Tabora ni jipu

    NHIF mkoa wa Tabora wanasumbua sana wafanyakazi wanaongoza kwa kuomba rushwa, pia wanalazimisha na mwenza wake awe namba ya NIDA Huu mfuko tunauchangia lakini masharti yamekuwa mengi lakini kila mwezi mnachukua pesa
  6. N

    Mikopo ya hazina, Maafisa Utumishi wanaomba 10% ili waweze kupitisha

    maafisa utumishi wako kimya wanasubiri mlungula
  7. N

    Mikopo ya hazina, Maafisa Utumishi wanaomba 10% ili waweze kupitisha

    huku kwetu hawatoi taarifa yeyote
  8. N

    Mikopo ya hazina, Maafisa Utumishi wanaomba 10% ili waweze kupitisha

    wapi imeandikwa kama confidential?
  9. N

    Mikopo ya hazina, Maafisa Utumishi wanaomba 10% ili waweze kupitisha

    mbona unabwabwaja? confidential nini?! mbona hayo mabarua yapo watasap
  10. N

    Mikopo ya hazina, Maafisa Utumishi wanaomba 10% ili waweze kupitisha

    katika dunia ya sasa kuna mtu hawezi sajili kwwnye hazina portal? au na wewe umetega nyavu?
  11. N

    Mikopo ya hazina, Maafisa Utumishi wanaomba 10% ili waweze kupitisha

    hii ni rushwa tena rushwa haswa
Back
Top Bottom