Recent content by NEPTUNE

  1. N

    JamiiForums Tanzania Mariam Ibrahim (Mrs Ulega) " Kama Hawaoni Mazuri Anayofanya DK.Samia, Mungu Anayaona". Asema Binadamu Hawana Shukrani

    Sijui huwa inakuaje, ni kweli kuwa wao hawana Ndugu au jamaa wenye uhitaji wa hizo fedha? Basi hata iwe sadaka kwa watu wenye mahitaji maalum. Labda kulikuwa na lengo mahsusi.
  2. N

    JamiiForums Tanzania Safari ya chadema kuchangisha milioni mia3.34 imefikia wapi ndugu wadau wa Jf?

    Basi haikuhusu, wenye jambo lao Wana taarifa sahihi
  3. N

    JamiiForums Tanzania Bilionea Joseph Mbilinyi (Sugu) azindua Bureau De Change ya Kisasa Jijini Dar es Salaam

    Hongera zake, ni hatua nzuri katika kuongeza uwezo wa kiuchumi.
  4. N

    JamiiForums Tanzania Umri ni namba lakini sioni kama ni sahihi mzee wa miaka 79 kuoa binti under 20

    Tatizo lako lipi? Waache na maamuzi Yao, wewe pambana na ukipendacho.
  5. N

    JamiiForums Tanzania Hakimu unaanzaje Kumfunga Mtu Jela Miaka 30 au Maisha kisa Bangi kilo Moja?

    Ni Sheria ndio inampa maelekezo Hakimu iwapo mashtaka dhidi ya mtuhumiwa atapatikana na hiyo hatia
  6. N

    JamiiForums Tanzania Hakuna kitu kinaumiza kama unapigiwa simu asubuhi na vijana wako wa kazi wanakwambia boss dukani kumevunjwa na vitu vimeibiwa!

    CCTV camera inazuia wezi? Kitu sahihi ni intruder system ambayo itasaidia kuzuia uhalifu usifanyike. Hivyo kwa usalama zaidi uwe na vyote ili kumfahamu mtu aliyejaribu kufanya uhalifu kwako bila kuleta madhara.
  7. N

    JamiiForums Tanzania Nyumba za kupanga, fremu za kisasa sio dili sasa yani kila mtu kawekeza huko

    Kwani Chanika hakuna wahitaji? Tafuta fursa popote inapowezekana. Majuzi tumeshuhudia Send Off ya Geita, hata za Dar hazifiki hàpo.
  8. N

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali Itusikie wazabuni, tunaidai TEMESA Morogoro tangu 2017

    Pole sana Mkuu, pata mawasiliano na Mamlaka Yao ya Juu labda tatizo litapata suluhisho.
  9. N

    JamiiForums Tanzania Mke wa Waziri Ulega 'alimchangia' Mama Diamond Milioni 16 kwenye sherehe. Familia za Mawaziri kumbe wana hela kiasi hiki?

    Labda ni uwekezaji wake wa kimkakati akijua atanufaika kwa utaratibu upi.
  10. N

    JamiiForums Tanzania CHADEMA hii ya sasa inakubalika kuliko hata TANU ya mwl Nyerere iliyopigankia uhuru wa bendera. Sasa hivi watu wanataka ukombozi

    Pitia historia ya TANU vizuri, kuna mengi labda yamekupita.
Back
Top Bottom