Sijui huwa inakuaje, ni kweli kuwa wao hawana Ndugu au jamaa wenye uhitaji wa hizo fedha? Basi hata iwe sadaka kwa watu wenye mahitaji maalum.
Labda kulikuwa na lengo mahsusi.
CCTV camera inazuia wezi?
Kitu sahihi ni intruder system ambayo itasaidia kuzuia uhalifu usifanyike.
Hivyo kwa usalama zaidi uwe na vyote ili kumfahamu mtu aliyejaribu kufanya uhalifu kwako bila kuleta madhara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.