Recent content by Nengani

  1. N

    JamiiForums Tanzania Dead Hand: Mfumo hatari wa Urusi wanaoutumia kumtishia Trump

    Huna akili we kwan hizo F- 35 zimeundwa mwaka juzi Mpaka zinasifika miaka hii? Mpaka mwakan zina miaka 20
  2. N

    JamiiForums Tanzania Mradi wa Kuchimba Gesi Adimu ya Helium kwenye Bonde la Ziwa Rukwa Kuanza. Mgawanyo wa Mapato Mwekezaji asilimia 83% na Serikali asilimia 17%

    Shida VIONGOZI WANAKUA madalali wa wananchi badala ya KUSIMAMIA mali za wananchi.haingii akilini upate FAIDA ndogo kwenye biashara yako halafu ufurahie hapa kichachofanyika kuna viongozi maabwenyenywe nao wana hisa zao humo kwenye 83.
  3. N

    JamiiForums Tanzania Iran waja na kombora jipya linapiga kilometa 12000

    SAWA MPUMBAVU namba moja duniani. Hata Yale makombora yaliyoifanya Israel Kuwa Gaza hayana madhara ndio maana marekan na Israel ameruhusu Iran kua nayo
  4. N

    JamiiForums Tanzania Iran waja na kombora jipya linapiga kilometa 12000

    Sawa jamaa waongo sana hata Israel haikupigwa wametudanganya hakuna hata jengo lililopigwa ila Israel iliamua tu kusitisha vita
  5. N

    JamiiForums Tanzania Iran yadai Marekani inajiandaa kuivamia kijeshi. Mazungumzo yanayoendelea muda huu ni janjajanja

    Kwan makombora ya Iran hayajaonesha udhaifu wa Israel
  6. N

    JamiiForums Tanzania Tishio la Iran kwa watu wanaoishi Uingereza linazidi kuongezeka kwa kiasi kikubwa

    Na wengine wataasirika kisaikolijia maana kombora 1 tu linashusha nyumba mtaa mzima kwa mtetemeko sasa unazani watu watakua na hali GANI kwa hofu
  7. N

    JamiiForums Tanzania Tishio la Iran kwa watu wanaoishi Uingereza linazidi kuongezeka kwa kiasi kikubwa

    Israel Hana silaha za kuichakaza Iran mpaka amiliki anga mbinu kubwa aliokua anaitegemea uhasi ,Yani mashambulizi kutokea ndani yapige ulinzi wa anga kisha yeye apate nafuu kweshambulia kwa ndege, sasa Iran aliposhtukia tu ule mchezo mchafu bc akawadaka wote na kufunga mipaka huku akimshushia...
  8. N

    JamiiForums Tanzania Tishio la Iran kwa watu wanaoishi Uingereza linazidi kuongezeka kwa kiasi kikubwa

    Watu wanashindwa kujua Israel wanamsifu , Israel anatumia mbinu ya magaidi Yani anavizia anapiga kwa kushtukiza kipindi unajipanga ye anaendelea sasa Ikiwa silaha zako unategemea kununua kwa wamagharibi ndio pale unasikia cku 3 kaahinda ila Hawa uwezo wa KUSIMAMIA vita na Iran hata kwa mwez1 tu...
  9. N

    JamiiForums Tanzania Tishio la Iran kwa watu wanaoishi Uingereza linazidi kuongezeka kwa kiasi kikubwa

    Hajielewi huyu hivi Israel walivyo makatili na kupenda vita wamiliki anga la IRAN wangeenda kuomba MSAADA KWA marekan aingilie wapigane pamoja, angeomba kusitisha vita kwa cku 12 tu haoni Gaza mpaka leo yupo tatizo lake ye kuutwa yupo BBC
  10. N

    JamiiForums Tanzania Iran yafunga anga lake kwa ndege za kiraia,je mtifuano kuanza tena!?

    ISRAEL ni bendera tu lakin lile ni koloni la uingereza marekan ufaransa na ujeruman wamezuga kujifanya NCHI tu
  11. N

    JamiiForums Tanzania Lijue kombora la Iran linalofika Israel kwa dakika 7 tu

    Sasa useme wewe mkristo kwa hao unadhan wanahusika na ukristo? Hao wanamtambua NABII Musa tu ndio wa mwisho hawamuamin Yesu au ISSA kama ninyi mulivyokua hamumtambui Muhammad na ndio maana wakapanga kumuua Yesu ni hao wayahudi
  12. N

    JamiiForums Tanzania Hali ya wasiwasi inazidi kuongezeka nchini Iran Ayatollah Khamenei, hajaonekana hadharani licha ya kusitishwa kwa vita

    BREAKING | Iran's Supreme Leader to the Iranian nation: My congratulations on our dear Iran’s victory over the US regime. The US regime entered the war directly because it felt that if it didn’t, the Zionist regime would be completely destroyed. It entered the war in an effort to save that...
  13. N

    JamiiForums Tanzania Hali ya wasiwasi inazidi kuongezeka nchini Iran Ayatollah Khamenei, hajaonekana hadharani licha ya kusitishwa kwa vita

    Mnaojidariji na ujinga wenu Khamminei ataongea kuanzia sasa mda c mrefu kwa njia ya video
  14. N

    JamiiForums Tanzania Hali ya wasiwasi inazidi kuongezeka nchini Iran Ayatollah Khamenei, hajaonekana hadharani licha ya kusitishwa kwa vita

    Propaganda za wapenzi wa Taifa teule baada ya kupokea KICHAPO kizito ndio wanataka kuficha AIBU Yao kwa taarifa za kuzusha , Khamminei cku ya kusitisha mapigano cku ya pili yake alihutubia Taifa live
  15. N

    JamiiForums Tanzania Iran ni nchi maskini ila Tanzania ni nchi maskini kuliko iran,

    KUIFANANISHA IRAN NA TANZANIA NI UWENDAWAZIMU WA KIWANGO CHA JUU HATUNA UWEZO WA KUMILIKI HATA RADA YAO MOJA YA ULINZI BADO HATUJAZUNGUMZIA KOMBORA MOJA YA HYPERSONIC, KIFUPI WAO WANATENGENEZA SILAHA YA KUTUMIKA NA NCHI YA DUNIA YA KWANZA .WAMETUZID KIELIMU ,KIUCHUMI, TECNOLOJIA, USHAWISHI ...
Back
Top Bottom