Hongera sana josephine kwa kuwa mkweli naomba tu umtie moyo dr slaa arudi tunampenda sana sana huu mwaka ni wamabadiliko lazima slaa awepo kwenye mabadiliko haya.
Sio itv wanakata ni wenye nchi lakini haisadii mungu ni mwema anaona kila kitu .ccm wameishiwa mbinu wanatapatapa tu .wasubiri goli la mkono walilozoea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.