Habarini za majukumu wapendwa na hongereni kwa kazi.
Mimi nina mtoto wa kike ana umri wa miaka 6 lakini mpka sasa haongei vizuri, ni neno moja moja sana napo ni kwa kujitahidi hivyo hivyo. Amesoma Pre-Middle za mchanganyiko na sasa anajiandaa kwa kuingia darasa la kwanza.
Sasa naomba ushauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.