Mimi ni Mwanajamii, Mtanzania na Mzalendo, si Mwanachadema wala Mwanaccm hivyo chochote kinachohusu Maendeleo ya Jamii ndicho ninachokipigia kampeni na wala si msimamo wala mtazamo wa chama fulani.
Ni kweli sikatai kwamba hapitii magumu najua anapitia magumu na si yeye tu wapo wengi sana wanaopitia mambo mazito hayafai hata kueleza, ila ninukuu maneno yangu; muda wa MUNGU haujafika ukifika kila kitu kitakuwa sawa haijalishi ni kupitia Rais au mtu yeyote yule.
Sasa ndugu yangu unadhani MUNGU Anashindwa kumsaidia mtu yeyote? Akitaka hata sasa Anaweza kumuinulia mtu wa kumsaidia hata kama si Rais Samia na akapelekwa hata Uingereza, hivyo kumtegemea YEYE Ndiyo point ya msingi kuliko kuwanyooshea watu vidole kwani hata mimi na wewe pia ni wajibu wetu...
Kwanza, Mimi si mgonjwa ushindwe kwa JINA LA YESU.
Mbili mimi ni mwanajamii siko upande wa chama chochote hivyo usinilazimishe kuwatukana CCM wala CHADEMA.
Tatu, nitoe pole kwa huyo mgonjwa naamini MUNGU Atafanya njia kwa wakati wake.
Nne laana isiyo na sababu haimpati mtu NENO LA MUNGU...
Wanayo kwenye Sura ya Nne: Sayansi, Teknolojia na Ubunifu pia wameelezea haya ila kwa mfano kwenye kipengele cha kuwapeleka watanzania nje ya nchi kusomea masuala haya wametaja tu kwenye vyuo bora duniani hawakuwa specific ni kwenye taifa au mataifa yapi ili tufanye tathmini ya hapa na pale...
Ni kweli japo CCM kwa advantage ya kuwa madarakani tayari nyingi zimeshatekelezeka, imenipasa kupitia ya Chama Kikuu cha Upinzani kwa sababu muda wa Ilani hii unakwenda ukingoni ikiwa haijatekelezeka hivyo nimeona niokote madini tusije kujikuta kama taifa tumeyatupa kwenye dustbin.
Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, ninapenda kuzungumzia kipengele kimoja kilichonivutia zaidi katika Ilani ya mwaka 2020-2025 ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA); Sura ya 16, Kifungu namba 16.1 Kipengele b (Ukurasa wa 95) ambacho kinasema:
"Katika kutimiza azma ya kujiendeleza...
Yaani wananchi wanaotakiwa wao ndio wapelekewe misaada na vyama vya siasa, inakuwa vise versa halafu unasema wanajenga uaminifu kwa njia hii? Tuwaonee huruma jamani.
Tatizo ni vyama vya siasa vimewekeza kwenye maneno makali, lugha zisizofaa, kuhamasisha vitendo hasi, n.k. wakidhani kuwa ndiyo njia ya kuchukua madaraka kutoka kwa CCM au wakidhani kuwa ndiyo njia ya kuwabadilisha CCM, katiba na mifumo ya utawala jambo ambalo ni BIG NO!
Siasa za vitendo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.