Habari zenu wakuu.
Nina mchumba wangu anapenda sana kuchat wassap na msichana nikimuuliza anasema ni rafiki yake wa muda. Cha ajabu wanatumiana picha za ajabu.
Wakati sina mimba aliongea na huyo dada wakate mawasiliano na kweli walikata. Sasa hivi nina mimba yake kazidisha kuchat na huyo dada...
Wakuu naombeni ushauri wenu mi ni first yr ruco leo majina ya kusaini mkopo yamekuja ila jinalangu halipo.naombeni anaye jua kuhusu hili jambo anisaidie.
au ndo kuna sec batch
Watu mnapenda complicate mambo unge mwomba ruhusa mapema saiv ungejua moja. We unaaply mkopo na unapewa 90% huku bos anakubania thn huku wengine wanalia hawajapata mkopo.
Binadamu bwana !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.