Mm ninaamini kwamba makabila yote yanadharau na hii inatokana na mtu mwenyewe. Mm nimekaa na msukuma, nikiwaeleza alivyo mtashangaa. Mhaya hana dharau sema mmeshajiwekea hiyo na haitowasaidia. Dharau, kiburi, kujisifu ni mjitabia ya mtu by nature. Tupo pamoja?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.