EXCELLENT,GOALS ACHIEVED Amerudi kaomba radhi. alpha1,umetumia falsafa gani hadi jamaa karudi?
Ni kweli jamaa ana mawazo mazuri na mchango mkubwa sana kwa JF ila ni muathirika wa negative attitude kwa watu wanaofanya asiyoyatarajia yeye.
Siyo kwamba aliteleza, ni mzoefu. Angalia post #5...
Mimi sikuwa member wa JF, ila baada ya kusoma huu uzi, hasa kauli ya MKL post #2 aliyotoa kwa muanzisha uzi na jina alilowabatiza waliochaguliwa TCU 4th round la makapi, nilihisi nachomwa na kitu moyoni nikalazimika kujisajili JF ili nami nipunguze machungu yangu. Huyu MKL kama kweli ni...
Hebu tujiulize,nini lilikuwa lengo la TCU kutangaza 4th round appl?
Lilikuwa kudahili waombaji kujiunga na elimu ya juu au ni kutafuta makapi? Ya kazi gani?
Hayo makapi hayakuomba yenyewe ila yaliitikia wito wa tangazo la TCU yatume maombi kama mojawapo ya taratibu za TCU kudahili waombaji...
Sasa angeenda kupata wapi msaada? Bora hivyo kuliko nyumba ndogo au madada poa,maana ni bora kuzoa uchafu kuliko UK..,KSWND,KSNN nk
Imeandikwa: Mke hana mamlaka juu ya mwili wake isipokuwa mumewe na mume hana mamlaka juu ya mwili wake isipokuwa mkewe. Pia msinyimane.
Kumbe TCU siku hizi wanapeleka makapi vyuo vikuu? Ni majambele au majanyuma? Tutegemee nn toka kwa hayo makapi?
TCU mko wapi mjibu hili? Ahahaaaaa!! Mmechafuka. Yewe, Mutama ulabhonye?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.