Recent content by Nebuchadnezzar

  1. N

    JamiiForums Tanzania Namkumbuka lakini simtamani

    [emoji23][emoji23][emoji23] Wewe babu bana!
  2. N

    JamiiForums Tanzania Ninahitaji BlackBBerry Q10 kwa laki na nusu (Tsh. 150,000/=)

    Kwa Z series wamejitahidi ila kwa hizi nyingine ni bado sana na wangeendelea "kukomaa" nazo wangeweza kuishia pabaya. Nimepata kwa Tsh. 250,000/=. Baadaye nikiiona na ikawa kwenye good condition kama anavyodai, nitainunua. Ahsanteni. :coffee: :coffee: :coffee:.
  3. N

    JamiiForums Tanzania Ninahitaji BlackBBerry Q10 kwa laki na nusu (Tsh. 150,000/=)

    Nyie watoto wa BRN na GPA bila ya maelezo mengi kuelewa ni vigumu kwahiyo kuelewana ni hadi kwa mifano mingi. Mtu mwenye akili anaweza kueleweshwa kwa sentensi moja akaelewa. Hebu angalia wewe mwenyewe, hereni unaiita "heleni".
  4. N

    JamiiForums Tanzania Ninahitaji BlackBBerry Q10 kwa laki na nusu (Tsh. 150,000/=)

    Haujaelewa kitu gani?
  5. N

    JamiiForums Tanzania Ninahitaji BlackBBerry Q10 kwa laki na nusu (Tsh. 150,000/=)

    Kuna mtu anauza used Z30 kwa 380,000 halafu ninunue used Q10 kwa 400,000 nina kichaa?! Simu used ya 400,000 unaifahamu mkuu? Au wewe wa kishua unaangalia bei za Mlimani City? Sipendi simu za touch that's why sijawahi kuzitumia, huwa natumia BlackBerry tu! Nilitoka kwenye 9300 now natumia 9900...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Ninahitaji BlackBBerry Q10 kwa laki na nusu (Tsh. 150,000/=)

    Habari zenu wadau. Husikeni na kichwa cha habari hapo juu. I am looking forward to hearing from you soon. Yours sincerely, Nebuchadnezzar.
  7. N

    JamiiForums Tanzania Edo Kumwembe azungumza na Mungu siku ya hukumu

    Ukanjanja bana! Soka na siasa wapi na wapi?!
  8. N

    JamiiForums Tanzania Msikiti unaoongoza kwa kutembelewa na hata wasio waislam huu hapa

    Nasikia kuna hadithi inayosema mtume S.A.W. "alitembea" na mtoto mdogo.
  9. N

    JamiiForums Tanzania Majaabu ya jina JK na jina Anna

    Ni kabla hajaja wewe kilaza.
  10. N

    JamiiForums Tanzania Kwa nini TANZANIA isiwe kama UGANDA?

    Ungekuwa na hela usingeandika haya uliyoyaandika.
  11. N

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Mwana JF amefariki dunia

    Pumzika kwa amani mkuu Kanjunju.
  12. N

    JamiiForums Tanzania A divorced or single dad to start a new family is needed

    Wewe mwenye akili za kikubwa unayeshinda kwenye mitandao ya kijamii (Jukwaa la Mahusiano, Mapenzi na Urafiki) ndiyo unajitambua?! Nikifikisha umri wako halafu nikawa ninashinda kwenye mitandao ya kijamii nitajipiga risasi ya utosini.
  13. N

    JamiiForums Tanzania A divorced or single dad to start a new family is needed

    Unamuonea wivu sindy? Au unauza? Kama unauza na wewe tumalizane hapahapa mbele ya hadhara.
  14. N

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenzangu wa jf ambao wana umri wa 30+nina waonea wivu......

    :smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:. Karibu kwenye bwawa la ruba.
  15. N

    JamiiForums Tanzania A divorced or single dad to start a new family is needed

    Mimi sitaki PM nataka tumalizane hapahapa mbele ya hadhara.
Back
Top Bottom