Recent content by Ndundame

  1. N

    JamiiForums Tanzania Masheikh wakiamua kuingiza siasa kila kipindi cha swala itakuwaje

    Kwahiyo kipoozeo ndio kgezo cha kukashifu washekh wote?? Nanyie vipi vule mpuuzi anaetembeaga na mabango ya kupinga uf!raj!?? What abt Zumaridi??? Vp kuhusu huyo wa kenya alieua wenzie na njaa?? Siku nyingine uwe unatumia akili kufikiri
  2. N

    JamiiForums Tanzania Masheikh wakiamua kuingiza siasa kila kipindi cha swala itakuwaje

    Sijaona point ya msingi Phd ni ada tu watu wanashindwa mudu Hata hao jamaa bila ufadhili wasingetoboa Alafu usichokijua unaweza ukawa na phd na ukawa mpuuzi tu, tunao wapuuzi kibao na mnawaita wasomi
  3. N

    JamiiForums Tanzania Masheikh wakiamua kuingiza siasa kila kipindi cha swala itakuwaje

    Kwahiyo?? unataka kusemaje
  4. N

    JamiiForums Tanzania Baada ya tamko la TEC, tunasubiri tamko la BAKWATA

    TUKUMBUKE MWAKA 1992 Mwaka 1992, Serikali iliingia Mkataba na Makanisa kupitia Taasisi zao za TEC na CCT. Chini ya Makubaliano yale, hospitali za Makanisa zitatumika kwa wananchi wote pale ambapo Serikali haina hospitali. Kwa kufanya hivyo, Serikali itakuwa na wajibu wa kuyapa Makanisa fedha...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Tupiganie Katiba Mpya ili kuondoa haya mauza uza ya TEC

    Hawa jamaa wanaojiita maaskofu hadi leo sijawaelewa wameniachia maswali mengi sana bila majibu, ~Wanatuchukuliaje yani watz? ~Wanajikuta ni akina nani kwenye hii nchi? ~Kwamba wanatuweza sana au? ~Wanahisi ili taifa ni la kanisa au sote waumini wao? ~Au wanajiona ni spesho sana kama...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Masheikh wakiamua kuingiza siasa kila kipindi cha swala itakuwaje

    Unaongelea hizi Phd za kununua au??
  7. N

    JamiiForums Tanzania Masheikh wakiamua kuingiza siasa kila kipindi cha swala itakuwaje

    Wakimaliza matamko na waraka zote waambieni waache "unyanyasaji wa kingono & kupiga nyeto" Bora waoe au waolewe kama muogozo wa vatican unavyosema ijulikane moja tu
  8. N

    JamiiForums Tanzania Masheikh wakiamua kuingiza siasa kila kipindi cha swala itakuwaje

    Sasa kama una Phd lakini bado unakubali kuinamishwa uingiliwe na mwanaume mwenzio bado tutakutendea haki kukuita msomi?? Pole sana kuna Phd kibao wapuuzi tu ila sikulaumu sana mana sijajua elimu yako imeishia wapi😂😂
  9. N

    JamiiForums Tanzania Masheikh wakiamua kuingiza siasa kila kipindi cha swala itakuwaje

    Na nyinyi mliokalia kimya Ushoga (skuhiz hadi ndoa za jinsia moja mnafungishwa kanisani) kwakuwa Tamko limetoka Vatican tuwaite vipi??? Au watumwa pro
  10. N

    JamiiForums Tanzania Masheikh wakiamua kuingiza siasa kila kipindi cha swala itakuwaje

    Ni kweli CuF ni kama lilivyo tawi la Kanisa-CHADEMA
  11. N

    JamiiForums Tanzania Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu

    WARAKA WA MAASKOFU SIO ITHIBATI ZA MAONI YA WATANZANIA. Na Thadei Ole Mushi Niseme kwa kifupi sana kuhusu ujumbe wa baraza la Maaskofu kuhusu Bandari. Kwanza nisema wazi kuwa nawaheshimu sana vingozi wangu hawa wa Dini. Cha pili nisema tamko lao naliheshimu kwa kuwa wametumia haki yao ya...
  12. N

    JamiiForums Tanzania Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu

    TUKUMBUKE MWAKA 1992 Mwaka 1992, Serikali iliingia Mkataba na Makanisa kupitia Taasisi zao za TEC na CCT. Chini ya Makubaliano yale, hospitali za Makanisa zitatumika kwa wananchi wote pale ambapo Serikali haina hospitali. Kwa kufanya hivyo, Serikali itakuwa na wajibu wa kuyapa Makanisa fedha...
  13. N

    JamiiForums Tanzania Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu

    Wapumbavu hao jamaa zenu Kwahiyo walishindwa kujitutumua kama hivi kutoa tamko kuhusu tuhuma za USHOGA ambazo ziligusa KANISA kabisa(Ref Ripoti ya Mwakyembe) Ila wameweza kujaza maelezo meeengi kuhusu mambo ya mikataba???? Jambo zuri ila uzarendo wao ungeaza ktk kuokoa Kizazi cha sasa na kijacho
  14. N

    JamiiForums Tanzania Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu

    Baada ya Tawi la kanisa (CHADEMA) kushindwa sasa wameamua kujitokeza wenyewe bila aibu kuonesha pingamizi zao ni huonekana sehemu ya mkataba kuwa ina maslai kwa Waislam(Japo wanazunguka waita Waarabu) Ila ni kawaida yao licha ya MoU walizoingiaga na serikali sambamba na kupokea ruzuku Shame...
  15. N

    JamiiForums Tanzania Askofu Mwamakula: DP World kujenga msikiti wa Masjid al jumaa wa Mbeya na kuendelea kusaidia dini ya kiislam nchini Tanzania!

    1.Ugaidi i)Hakunaga mafundisho ya ugaidi, nachojua mimi ni mazoezi kwaajili ya self defense kama karate judo taekwondo etc ambayo hayajaanzishwa na uislam pia ni michezo halali iliyosajiliwa na kuna vituo vingi tu vinafundisha nchini hadi duniani pia kunakuwaga hadi mashindano ya kimataifa. ii)...
Back
Top Bottom