Recent content by ndorobo 2

  1. N

    Kwa wanaume tu: Kuna madhara ya kufanya mapenzi kila siku?

    Ni mjamzito,yeye ndo analalamika nitapata madhara ila mi nipo fit
  2. N

    Kwa wanaume tu: Kuna madhara ya kufanya mapenzi kila siku?

    Kumbe mnapenda basi HAPA KAZI TU
  3. N

    Kwa wanaume tu: Kuna madhara ya kufanya mapenzi kila siku?

    Ha ha ha mkuu huoni akitoka moshi atawaka moto..
  4. N

    Kwa wanaume tu: Kuna madhara ya kufanya mapenzi kila siku?

    Habari zenu wadau! ni madhara gani mwanaume anaweza kuyapata kwa kugegeda kila siku hamna siku inayorukwa..
  5. N

    Msaada wakuu open university wameshashotlist watu wa interview?

    daah mbona kimyakimya hivo mkuuu.. asante kwa taarifa
  6. N

    Msaada wakuu open university wameshashotlist watu wa interview?

    kuna yeyote mwenye taarifa kama open university wameshotlist kwa ajili ya inteview? walitoa tangazo la kazi na dedline ilikuwa july sasa mpka leo naona kimya.:A S confused:
  7. N

    Kugegeda mara1 kwa wiki

    Kulipa mahari mkuu sio sababu ya kugegeda kila siku..unaweza kukuta unagegeda 24/7 hatachoka na ndo hapo mnaanza kulazimishana kugegedana ni starehe ila ukizidisha inakuwa karaha..
  8. N

    Laana ya mapenzi

    Wadau naomba mnisaidie. Kuna ukweli wowote kuwa ukitoa bikra ya mwanamke unakuwa umeingia naye kwenye agano? Na pindi utakapomuacha akawa anakulalamikia kuna laana yeyoyete inayoweza kukupata?
  9. N

    Kuandika majina ya Mwanamke kwenye mali sio mapenzi, ni ubwege

    hakuna kitu kama hicho kwenye sheria za wosia kama mali zipo kwa jina lako zitabaki kuwa zako na kama mlichuma pamoja ndo mtagawana 50% na endapo mmoja ataangulia mbele za haki 100% zote zake(kwa kifupi zinaitwa matrimonial property) sa mi nijipinde huko kimyakimywa nitafute zangu afu uje upewe...
  10. N

    Kuandika majina ya Mwanamke kwenye mali sio mapenzi, ni ubwege

    ubwege, kutokujiamini,ulimbukeni na ujinga.. msamehee hajielewi
  11. N

    Kuandika majina ya Mwanamke kwenye mali sio mapenzi, ni ubwege

    ubwege, kutokujiamini,ulimbukeni na ujinga.. msamehee hajielewi
  12. N

    Baada ya kufanya mapenzi namuoana mbaya, nifanyaje nimalize tatizo hili?

    youngsharo; acha uzinzi tendo la ndoa??tangu lini mvulana akawa na ndoa kemea pepo la ngono hilo..
Back
Top Bottom