kuna yeyote mwenye taarifa kama open university wameshotlist kwa ajili ya inteview? walitoa tangazo la kazi na dedline ilikuwa july sasa mpka leo naona kimya.:A S confused:
Kulipa mahari mkuu sio sababu ya kugegeda kila siku..unaweza kukuta unagegeda 24/7 hatachoka na ndo hapo mnaanza kulazimishana kugegedana ni starehe ila ukizidisha inakuwa karaha..
Wadau naomba mnisaidie.
Kuna ukweli wowote kuwa ukitoa bikra ya mwanamke unakuwa umeingia naye kwenye agano?
Na pindi utakapomuacha akawa anakulalamikia kuna laana yeyoyete inayoweza kukupata?
hakuna kitu kama hicho kwenye sheria za wosia kama mali zipo kwa jina lako zitabaki kuwa zako na kama mlichuma pamoja ndo mtagawana 50% na endapo mmoja ataangulia mbele za haki 100% zote zake(kwa kifupi zinaitwa matrimonial property) sa mi nijipinde huko kimyakimywa nitafute zangu afu uje upewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.