mimi ninaamini hakuna mtu asiye na makosa! lakini yakizidi kipimo hugeuka na kuwa zigo zito. kama ulifumaniwa unakwiba mke ya m2 na wewe mwenyewe akamfumania yule aliyekufumania jana anakwiba ya kwako. Hauwezi kumwajibisha maana utasutwa. Hii ndo mambo yanayomsumbua mkulu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.