Jamaa wametuvunja moyo kwakweli hakukuwa na haja ya kutuita watu wote wale tena kwenda kufanyia kwenye mkoa mmoja ambapo wengine tulitoka mikoa ya pembeni sana mwishowe matokeo yanakuwa ya namna ile.
Ila kuna huyu jamaa muhamasishaji alifanikiwa kunipiga 16,000/= mchana kweupe nilishtuka alipodemand pesa zaidi nikashtuka aliniambia kuna shirika linaitwa CHACHAMA-Chama cha kupambana na Malaria Vijijini kuna nafasi za kazi na interview itafanyika Dar so inabidi nitume pesa kama laki tatu hivi...
Kupitia ushauri wako umeniongezea thamani katika utafutaji wangu wa kazi na maisha ya kupambana mtaani nakushukuru sana sana kwa ushauri huu mkuu ubarikiwe sana ni maneno machache uliandika ila yenye thamani na uzito mkubwa sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.