Nachukuwa nafasi hii kuwaaga, mie naanza likizo. Likizo sio lazima uajiriwe. Likizo ni mapumziko.
Jitahidini nanyi muwe mnapumzika. Hata mumeo/mkeo uwe unampa likizo apate muda wa kutoka nje ya hapo kwenu aende kuosha macho kidogo Sakayo, Asprin, Mwifwa, Samaritan, mahondaw na wengine...