Aaaaise ndugu hapa naunga mkono hoja kama mwasilishaji alivyo kuwa na mashaka juu ya chati hii maana ni inaonekana rahisi kuchezewa na kwann wakala awafokee wakulima aliya kuwa ni wajibu wake kuwaelimisha juu ya swala hili. mmmh hii Tanzania mpya sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.