Yule mtu alikuwa mpuuzi sana. Na muda wa miaka mitano aliyokuwa amekalia kiti cha urais nchi yetu iliingia laana. Achana na kuboa jengo, kule chato alipeleka pesa akafuja pesa yaani kodi ikusnywe mbeya ikajenge chato manina yule bora amekufa na watoto wake watalipa tuuu maana tumeanza kuwasikia...
Habari zenu Watanzania!
Leo mungu amenipa kibari ili niweze kuongea nanyi machache hasa yanayoendelea hapa nchini kwetu
Kwanza kabisa nataka niwakumbushe hasa kuanzia 2015 hadi 2021 march. Hiki ni kipindi ambacho Taifa letu pendwa lilishuhudia mambo ya ajabu na ya kutisha. Ilikuwa miili ya watu...
Kinachonifurahisha ni kuwa waliokuwa wanataka akazikwe Singida haraka wamefukiwa kwa kifo cha kukosa hewa mele ya walinzi wenye bunduki wamewaacha waliotaka kuwatesa wakiwa huru. Mungu wa ajabu sana alifyeka kigenge chote
Naona giza mbele. Waliomshauri ni kama wameamua kumtwisha mzigo asioweza alafu naona hana kibali kama mtangulizi wake. Hana rehema naona giza totoro inawezekana hatafka huko
Uongo kabisa. Rwanda na Uganda Wana urafiki ulioshiba sawa na America na Israel. Sasa Tanzania rafiki yako ni nani. Kenya wana democrasia na katiba nzuri hivyo na rahisi kujilinda.
Kagame akija huku na Malawi watatokea kusini 🤣🤣🤣
Maccm na familia zao watakamuliwa maviii
Kiuhalisia hakuna taasisi inayoenda na wakati🤣🤣🤣
Kireno nayo ni maarifa? Kisukuma je?
Wachina hawajui hata kisomali lakini bidhaa zao zipo Kila Kona ya ulimwengu. Huko JKT ndio kabisaaa
Jambo afandeeeee
Kireno ni utaalam maana mizinga mingi imesndikwa kireno🤣🤣🤣🤣
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.