Recent content by Ndio_Ze2

  1. Ndio_Ze2

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwanafunzi yoyote wa Chuo cha Ushirika Moshi

    0652404440
  2. Ndio_Ze2

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwanafunzi yoyote wa Chuo cha Ushirika Moshi

    0652404440 shukran mkuu
  3. Ndio_Ze2

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwanafunzi yoyote wa Chuo cha Ushirika Moshi

    Sawa, kwasasa nahitaji mtu ambae yupo chuoni.
  4. Ndio_Ze2

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwanafunzi yoyote wa Chuo cha Ushirika Moshi

    Dah bro huniamini? Anyway naomba kufaham lini ni siku ya mwisho kufanya registration kwa ngazi ya masters? Pale hostel wanuruhusu m'funzi kuchukua chumba na mkewe?
  5. Ndio_Ze2

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwanafunzi yoyote wa Chuo cha Ushirika Moshi

    Male, sihitaji mtu wa kudate nae bro. Just anisaidie nikifika pale.
  6. Ndio_Ze2

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwanafunzi yoyote wa Chuo cha Ushirika Moshi

    Dah mkuu dhihaka hizo
  7. Ndio_Ze2

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwanafunzi yoyote wa Chuo cha Ushirika Moshi

    Aisee watu wagumu kutoa msaada
  8. Ndio_Ze2

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwanafunzi yoyote wa Chuo cha Ushirika Moshi

    Wakuu habari zenu, natumai mnamalizia mapumziko ya wiki vyema. Naomba msaada wa mwanafunzi yoyote aliepo Chuo cha Ushirika Moshi. Nategemea kuanza Masters hapo ila nipo Zanzibar na sina jamaa huko wala sikuwahi kufika. Kwa mawasiliano atanisaidia sana. Ahsanteni
  9. Ndio_Ze2

    JamiiForums Tanzania Nasumbuliwa na muwasho mkali baada ya kumaliza kukoga

    Kwa ambao bado wanasumbuliwa na tatizo la muwasho watumie dawa inaitwa dermovit ointment mm imenisaidia kabisa.
  10. Ndio_Ze2

    JamiiForums Tanzania Nasumbuliwa na muwasho mkali baada ya kumaliza kukoga

    Asante kwa ushauri
  11. Ndio_Ze2

    JamiiForums Tanzania Nasumbuliwa na muwasho mkali baada ya kumaliza kukoga

    Mkuu hili tatizo kwangu ni zaidi ya shida, kwa vile unalifahamu utakua unanielewa. Mimi nishawahi kukoga maji ambayo yanaunguza badala ya hayo yenye uvugu vugu na sikuamini the way najimwagia maji ndio muwasho mkali ulinitokea hakika nilikaribia kulia siku hiyo. Yaani hapa nilipo nikiambiwa ini...
  12. Ndio_Ze2

    JamiiForums Tanzania Nasumbuliwa na muwasho mkali baada ya kumaliza kukoga

    Pole sana, naona wataalamu wamekuwa kidogo ila tuvute subira watakuja kutupa muongozo. Ila kwa upande wangu nataka nikapime damu ili nijuwe tatizo linaweza kuwa ni kitu gani
  13. Ndio_Ze2

    JamiiForums Tanzania Nasumbuliwa na muwasho mkali baada ya kumaliza kukoga

    Hua unapata muwasho sehemu zipi?
Back
Top Bottom