Recent content by Ndile wa Ulindula

  1. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    Ni TAL pekee anaweza kujaza T'packers kwa kuwatangazia wana dsm pasipo kuwasomba kwa malori. Jamaa anakubalika na co hawa CCM
  2. N

    JamiiForums Tanzania John Heche (CHADEMA): Wamepanga kutuvamia na kutudhuru nyumbani, safarini au tukiwa matembezini kisha taarifa za kipolisi zitasema - majambazi

    Attention iliyopo kwa watz dhidi ya CDM ni kubwa mno kuliko hata kampeni za Mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM
  3. N

    JamiiForums Tanzania Chama tawala Malawi tunaogopa Njia hii wananchi wakiijua inaweza kuwafunua kupata mbinu ya kuzuia uchaguzi kirahisi

    Kama mlinzi kaanza kuanguka, wanaolindwa nadhan cjui km wapo salama
  4. N

    JamiiForums Tanzania Chama tawala Malawi tunaogopa Njia hii wananchi wakiijua inaweza kuwafunua kupata mbinu ya kuzuia uchaguzi kirahisi

    Wala co ishu, ishu kuwapunguzia adha ya kupanga foleni kiboya boya wakati matokeo wameshapanga. Ila itasaidia kupunguza uhalali wa matokeo watakayoyapika
  5. N

    JamiiForums Tanzania Chama tawala Malawi tunaogopa Njia hii wananchi wakiijua inaweza kuwafunua kupata mbinu ya kuzuia uchaguzi kirahisi

    Wape ELIMU tu watakukabidhi vitambulisho vyao, wanakijiji ni waelewa sana, watakupa
  6. N

    JamiiForums Tanzania Chama tawala Malawi tunaogopa Njia hii wananchi wakiijua inaweza kuwafunua kupata mbinu ya kuzuia uchaguzi kirahisi

    Tayari ninamiliki vitambulisho vya mpiga kura vya ukoo wangu wote, HAWATAPIGA KURA kwenye kiini macho cha uchaguzi Oktoba. NIMEWAPA ELIMU NA WAMEELIMIKA, bila nguvu kuuubwa wamenikabidhi shahada zao za kupigia KURA
  7. N

    JamiiForums Tanzania Wicknell Chivayo 'Mwizi wa Uchaguzi’ na ‘Kipenzi' cha wanasiasa Barani Afrika, ameshatia mkono na kwetu?

    Ikulu iache upuuzi. Rais ni taasisi na rais anatuwakilisha watz wote. Mbaya zaidi hata Imani yake hairuhusu hicho unachokiona kwenye picha. Mume wake anajisikiaje kwa mapicha hayo 😭
  8. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Prof. Kabudi: Samia ametimiza aliyoshindwa Mwalimu Nyerere

    Mh Mungu 🤣🤣
  9. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Sheikh Haruna atoa onyo kwa Humphrey Polepole kuhusu kauli zinazomchafua Rais Kikwete

    Anaacha KUKEMEA UTEKAJI, ufiraji, mauaji ya raia wasokuwa na hatia wanaotumia haki yao ya kikatiba KUKOSOA mwenendo mbaya wa SIRIKALI, yeye anahangaika na MZALENDO wa kweli HP? Pambafuuuuuu 😭
  10. N

    JamiiForums Tanzania Wasira: Hata wapinzani wanakiri sisi ni wakubwa

    Akakojoe akalale bhanaaaaa khaaaa
  11. N

    JamiiForums Tanzania Huyu mgombea amesema atanunua trekta milioni 10, huu ni uongo wa kutisha

    Bure???? Angalia wanavyolizwa wakulima wa mbaazi huko kusini. Kg 1 ya mbaazi tshs -1000, tofauti na ile ya msimu uliopita ya 2000+. Tunalipa kwa mtindo huo
  12. N

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Serikali inajua kila kitu kinachoendelea. Yoyote anayefanya makosa anaweza kufikiwa

    Na baada ya kiinimacho cha uchaguzi wao wa Oktoba watateka na kuua saaaaaana hawa jamaa. Hawanaga kitu mukichwa, wao wanawaza maguvu tu
Back
Top Bottom