Recent content by Ndesaika Rudolf

  1. Ndesaika Rudolf

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe na 'Saini za Wabunge 70' za kumg'oa Pinda - Tafsiri yangu

    Nape yuko wapi hapa? Aseme mwenyewe hawa wanaotafuna nchi ni wasafi zaidi ya wale madiwani anaodai wamekosa mvuto. We nape wewe, ungekuwa hauko katika hicho kiti ulichokalia am sure ungekuwa mkali kama pilipili kichaa. Unaona usalama wa kula yako u hatarini then unakumbatia magamba. Kaka ZITO...
  2. Ndesaika Rudolf

    JamiiForums Tanzania Nape Nnauye: Madiwani wa CCM wanaoama wamekosa mvuto kwa wananchi

    Nape aape kama kweli wale waliojitoa CCM (madiwani na wenyeviti vitongoji) wana kashfa kama ya Rada au Richmond!! Mbona Chenge na Lowasa hawatoki, au wao ni wasafi zaidi ya hao madiwani ambao anadai hawana mvuto? Na huyo aliyeuza bandari ya Mtwara naye kwa NAPE ni Mchungaji au Kuhani?? Nape...
  3. Ndesaika Rudolf

    JamiiForums Tanzania Namkubali naibu spika mh Ndugai

    Inawezekana wote ni vilaza kwa nyakati tofauti. Ila Bi Kiroboto naona amezidi ukilaza. She is talking beyond her capacity coz si yeye anayeendesha bunge bali watu walio nyuma yake... Huyu ni kilaza zaid; as for now hatuna mwingine zaidi ya hao wawili, bora Ndugai kuliko Bi. K...
Back
Top Bottom