Habari za kutunga,imeandikwa kwa kufuata fikra tu,haiwezekani wakajadili suala kubwa kama hilo ugenini,Demokrasia hata Marekani wameshindwa tumeshuhudia wakikataza Maandamano ya wanafunzi baadhi ya vyuo wanaopinga Umwagikaji wa Damu Mashariki ya Kati.DEMOKRASIA NI PANA SANA NA INATEGEMEA...
Wapenzi na Mashabiki wa Team ya Yanga, ni kweli ya kuwa, tunapitia Wakati Mgumu na kwa kiasi Fulani, kimataifa angalau tumenza na Matokeo ya kutia Moyo,sio ya kuridhisha.
Ili tutembee kifua mbele kwenye Mzunguko wa Pili Kimataifa kwa hizo mechi tatu zilizobakia tunatakiwa tumshauri Kocha wetu...
Mkuu ungetupa na nyama kidogo walitambaje au walifanya makubwa gani,Kwa DIRIA huyu alitaka kusaini Mkataba wa kuingiza Tanzania kwenye Jumuiya ya OIC,ilileta mkankanyiko uliopelekea yeye kujiuzuru kama Waziri wa MAambo ya Nje,kwa Upande wangu Waziri aliyetrend enzi za Mwinyi alikuwa marehemu...
Pongezi sana kwa Binti aliyekarabati na pia naupongeza Uongozi wa Shule kuruhusu hilo,mara nyingi Wahisani wamekuwa hawatajwi wala kupewa mkasi kuzindua,nafasi hizo zimeporwa na Wanasiasa na Viomgozi wa Dini,inatakiwa iwepo la Jiwe na Msingi kwa ajili ya Wafadhiri wa Miradi na Majengo,Wasibaki...
Hongera kwa Utafiti mzuri,kwa maoni yangu na kutokana na Uchunguzi mdogo niliofanya ni kuwa Jamii kubwa ya watua wenye asili ya Asia wana uraia pacha,wanatambulika na jamii zao mpaka hapo wanapoukana Uraia wa babu zao na kuukubali Utanzania,Mfano ni aliyeshindwa Kesi na Dr Warid Kabouru Jimbo...
Swali la kujifikirisha je na yeye amekuambia ANAMILIKI MALI ZENYE THAMANI GANI,maana kuna kipindi hii jinsia inajiona ina HAKI ya kumiliki mali za Mweziye tu,akifa ni mali za familia yake,AKILI MU KICHWA
Mkuu ukitaka kujua Tanzania tuko vizuri kuliko wao angalia Suala la DP World lilivyojadiliwa Tanzania na Suala la Umilikishwaji wa Kenyata Airport ndo utajua akina nani nani angalau wana uafadhali
Pole Mwekezaji Mzawa
Usikate tamaa,inwezekana katika ajira zako ulizotoa ulisahau Makundi Makuu Matatu.Kwa mtu anayetaka kufanya uwekezaji mkubwa asisahau kaujiri au kuweka Wafuatao
1.Extenal Auditors;Siku hizi kuna kampuni binafsi ambazo hutoa huduma za ukaguzi wa Hesabu na Raslimali...
We endelea kununua vitu ambavyo receipt inayotolewa inatoa amount tu bila jina siku ukiambiwa hiyo Tv ni ya wizi ndo utajua? Maana ukiambiwa lete ushahidi unaleta Receipt bubu ina jina la bidhaa na amount tu haina jina la mnunuzi hapo ndo utaona umuhimu wake,we endelea kulala
Mkuu hapo mkuu wa nchi ameongelea kundi linalolipa moja kwa moja bila kupitia kwa tax withholder,makundi hayo ni kama wafanyakazi kupitia mishahara(paye tax) na wafanyabiashara wakubwa (corporate tax) na wenye uelewa wachache ambao wanapolipa kodi au kununua bidhaa hutaja tin number zao ambazo...
Tanzania na Watanzania tutumie Mechi za Kimataifa kama za Yanga mechi CAF Championship na Simba CAF Confederation kujitangaza kwa kuwa Mechi hizo hurushwa na TV Mbalimbali za Kimataifa kama Super Sport,tuweke Propaganda za Kiuchumi tuutumie mwanya huo kwa Mechi za Mwishoni mwa Wiki hii
Mpira wa...
Mzee Butiku,anafurahisha sana,anaanza kuwaambia wengine wajiuzulu,yey more than 70 lakini bado tu yuko Taasisi ya Mwalimu Nyerere mpaka imepungua umaarufu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.