Recent content by Ndanga92

  1. N

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri: Nilichezea mshahara wa milioni 10

    Anachosema ni sahihi,waliofanya kazi kwenye mashirika yanayohudumia wakimbizi wanafahamu.Kupata 10M kwa mshahara+bonus+ deals ni sahihi kabisa.
  2. N

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri: Nilichezea mshahara wa milioni 10

    Danish Refugee Council(DRC) wametangaza nafasi ya Supply Chain Team Leader upande wa Procurement jaribu kuomba,biashara itakupasua kichwa hasa kipindi hiki ambacho unaonekana kuwa na stress pia utapoteza kiasi kidogo ulichobaki nacho.
  3. N

    JamiiForums Tanzania Bado Km 51 ili Kigoma-Dar iwe lami. Rais Samia anaenda kuunganisha mikoa yote kwa lami

    Kuanzia Kibondo ni lami sasa
Back
Top Bottom