Ni kweli,ila kuna watu hawawezi kukuheshimu mpaka wakumbuke wema wako,na hawawezi kukumbuka mpaka warudi kwenye mazingira yaleee ambayo uliwafanyia wema, kuna watu wanakera
Nina wiki ya pili sasa naomba Mungu anilipie kisasi kwa mtu mmoja hivi asiyekuwa na shukrani,Alikuwa na hali mbaya sana kiuchumi nikamsaidia kidogo nilichokuwa nacho pamoja na ushauri,Sasa hivi kafanikiwa dharau nyingi ananiona sina hata hadhi ya kupiga naye stori,Wale ambao hawakuweza kumsaidia...
Upo safarini miezi kadhaa ,unaambiwa na mtu wako wa karibu Mwanamke wako anakusaliti, " Unaanza kufanya uchunguzi kimya kimya unagundua kweli kuna kila dalili za usaliti ,hakuna mawasiliano ya mara kwa mara kama zamani, hajibu text kwa wakati kama zamani.
Unaamua kumuweka wazi juu ya yale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.