Recent content by Ndanauze

  1. N

    Rais John Magufuli: Nikisema Ukweli, Watanzania Wenye Uchungu Mtalia!!!

    Hakuna aliyeuhukumu kaka.... Tusijitaabishe kupoteza muda, tunamambo mengi ya kufanya zaidi ya hayo! Magufuli ni raisi wetu, tumwombee Mungu azidikuwa pamoja naye! Mungu ashindwi na lolote, halafu tumuamini Raisi....
  2. N

    Rais John Magufuli: Nikisema Ukweli, Watanzania Wenye Uchungu Mtalia!!!

    Wadau wenzangu, tusiwe watu wa kulalamika kwa kila jambo, wakati wa kampeni umekwisha! Hebu tumuamini Raisi wetu! Viongozi wa wananchi si malaika wasikosee.... Tuangalie nia ya dhati iliyondani ya viongozi.... Tujikite kwenye maswala ya maendeleo... Wachungaji wajikite katika kutusaidia...
  3. N

    Kwanini replacements zote ni UDSM?

    Binafsi nadhani tumeenda kidogo nje ya mada.... Nadhan mtoa mada alikuwa na swali lenye maslahi makubwa kwa chuo kikuu cha Udsm... Kwani no hatari sana kuondoa wasomi wengi kwa mkupuo!.... Natambua sana mchango was chuo kikuu cha Dar es Salaam, lakini so lecturers wote wanaofundisha pale...
  4. N

    Rais Magufuli apiga simu tena Clouds 360, awapongeza kwa kazi nzuri

    Jaman uhuru we mawazo usiwafanye wengine kukosa heshima, mbali na yeye kuwa Rais, no mzazi na ni makamo ya wazazi wetu... Hebu tumpe heshima yake
Back
Top Bottom