Recent content by ndammu

  1. ndammu

    JamiiForums Tanzania POLISI tafadhali mshughulikie huyu anahatarisha Amani yetu, isiwe mnaiona Chadema tu ingawa Chadema haijawahi hatarisha Amani

    Kauli zao ni za dhahabu hazijadiliwi na taasisi nyengine hatakama wako na makosa wanayoayaona ni ya chadema tu.
  2. ndammu

    JamiiForums Tanzania Tetesi: CHADEMA, Heche na Red Brigade: Vitisho Katoro

    Ukishashiba makande ndio unakuja kuandika haya matakataka yako.
  3. ndammu

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba amepoteza hadhi ya Ujaji avuliwe ujaji, asiendelee kuitwa Jaji ili kulinda hadhi ya Ujaji ambayo inaambatana na uzalendo

    Akishavuliwa yeye hiyo hadhi ya ujaji utapewa wewe ili ufaidi maana inaonekana unahitaji nao.
  4. ndammu

    JamiiForums Tanzania Msajili wa Vyama vya Siasa Ailima barua CHADEMA na kuipa Siku 13 Kujieleza Dhidi ya Tuhuma za Ukiukwaji wa Sheria ya Vyama vya Siasa

    Yeye alikuwa wapi wakati hayo yanafanywa au ya upande wa pili ndio makosa? Msilete ujinga na huyo msajili wenu msenge.
  5. ndammu

    JamiiForums Tanzania Bunge lifanye jambo pale kwenye katiba ili Mama atuongoze angalau kwa miaka mingine 7 baada ya 2030, ndo hitaji la wananchi wengi kwa sasa

    Na zaidi ya hayo yakiwemo magoli ya mama. Ni maendeleo makubwa.
  6. ndammu

    JamiiForums Tanzania Nape Nnauye: Tulikodi uwanja wiki nzima ili CHADEMA wasifanye kampeni, Kikwete akatuzuia

    Hayo ni miongoni mwa maovu ya ccm wanayoyafanya dhidi ya chadema. Sarakasi zote wanazofanyiwa chadema ni ccm ndio waratibu wa maovu. Kila baya mtalisema kwa namna yake. Na ndio siku zote nasema ccm bila ya hila ya vyombo vya dola na taasisi zingine uwezo wa kushindana na chadema hawana.
  7. ndammu

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanahangaika na mikutano ya mitaani wakati hawana hata balozi mmoja hivi vyama vinaongozwa na watu wenye IQ ndogo sana

    Kila siku mnasema chadema imekufa. Leo mnalalamika wanafanya mikutano mnachukia yote hayo. Mnayoyataka hasa ni yepi? Maana yake uwezo wa chadema ni mkubwa. Ccm bila ya vyombo vya dola inawezakushindana na chadema katika kipengele kipi hasa?
  8. ndammu

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanahangaika na mikutano ya mitaani wakati hawana hata balozi mmoja hivi vyama vinaongozwa na watu wenye IQ ndogo sana

    Siku mkiweza kufanya mikutano bila ya kusomba watu kwa magari ya bure na kupata angalau watu 2000 nakulipa 5M.
  9. ndammu

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Katibu Mkuu Wa Chama Fulani Kumwaga Manyang'a

    Mbona na ww unaleta uongo siku zote.
  10. ndammu

    JamiiForums Tanzania Kama Tundu Lisu atakufa na Msimamo wake. Atakuwa ndiye mtanzania shujaa wa muda wote Akifuatiwa na Magufuli. Hao watu hakuna anayesogea Kwa ukaribu

    Kabla ya Magufuli kuwa raisi sema ni wapi alipotumia na kufanya ujasiri? Ujasiri wa Magufuli umekuja kwa sababu ya vyombo vya dola na sio chengine na wala nje ya hapo hakuna sehemu alionesha ujasiri wake. Sema ni nani aliye ccm nje ya uraisi anaweza kupingana na serikali?
  11. ndammu

    JamiiForums Tanzania Kama ipo ipo tu; CCM na Rais Samia wanazidi kudharauliwa na Watanzania, CHADEMA inazidi kukubalika

    Matusi unayaona chadema? Jee wanaofanya mauaji ya wananchi wasio na hatia kisa kutofautiana mawazo?
  12. ndammu

    JamiiForums Tanzania Mnaounga mkono CCM huwa mnatumia VPN?

    Huyu ni chadema?
  13. ndammu

    JamiiForums Tanzania Jaji Juma: Kuna watu wanaokosoa bila kuwa na uelewa. Wanategemea wengine wawe wamechanganua, wanafuata wanayoyasema

    Kuna mzee wenu huko ccm alikuwa na mawazo tofauti akakamatw na saivi amepewa kesi ya uhaini. Ccm bana
  14. ndammu

    JamiiForums Tanzania Said Mwema: Tulibaini zilipangwa mbinu zaidi ya 16 ili jambo hili (maandamano) liweze kufanikiwa

    Inteligência yao ipo kwa chadema tu.
Back
Top Bottom