nyinyi mliomadarakani miaka zaidi ya miaka 63 mnaomba kuchangiwa. Nakuiba pesa za miradi mkijinufaisha matumbo yenu. Unajua kwamba kuna madeni huko yaliyosababishwa ni Samia?
Hebu Tutajie hayo yaliyonzishwa na ccm na sio kupora. Mnaiyogopa chadema na viongozi wake wote. Chochote kinachoanzishwa mnakiharibu.ili tu chadema ife na hilo limewashinda ndio maana mnashindwa nikutumia hoja. Mbowe alipokuwa mwenyekiti baada tu ya kuingia Magufuli madarakani kwa mgongo wa...
Tatizo lako unatumia hisia badala ya halisi. Siasa ni nini? Anaepaswa kushabikia Siasa na asiyepaswa ni nani? Asilimia kubwa ya waliouwawa hawakuwa kwenye maandamano.
Sasa kama katika mauaji yaliyofanywa na ccm hayakukuumiza au kuwapo mwanafamilia yako aliyefikwa ni mauaji huwezi jua maumivu yake. Kwanini mnaogopa uchunguzi huru na wahusika washtakiwa?
Si mnasema chadema walihamasisha Sasa hawo chadema ndio wanataka uchunguzi huru ili kama wanahusika...
Sio Samia pekee kiufupi ni ccm yote inamwogopa Lissu maana yeye hutumia hoja na sheria sasa ccm hiyo ligi hawawezi wanachokitaka nikukamata na kushitaki. toka kipindi cha mkapa hadi Samia ni lini walimshinda kwa hoja?
Bila ya vyombo vya hakuna mwanaccm awezaye mshinda. Hebu sema toka utawala wa Nyerere ni wapi aliposhitakiwa na kukutwa na hatial
Iita ni euro 600 na $8000. Tanzania mpo vizuri kwa wizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.