Recent content by ndammu

  1. ndammu

    Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa CHADEMA Kushindwa Kuwa Na Vitega Uchumi Kwa Miaka 34 Na Kuishia Kuombaomba Tu Michango Inayoishia Kutafunwa hovyo

    nyinyi mliomadarakani miaka zaidi ya miaka 63 mnaomba kuchangiwa. Nakuiba pesa za miradi mkijinufaisha matumbo yenu. Unajua kwamba kuna madeni huko yaliyosababishwa ni Samia?
  2. ndammu

    Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa CHADEMA Kushindwa Kuwa Na Vitega Uchumi Kwa Miaka 34 Na Kuishia Kuombaomba Tu Michango Inayoishia Kutafunwa hovyo

    Hebu Tutajie hayo yaliyonzishwa na ccm na sio kupora. Mnaiyogopa chadema na viongozi wake wote. Chochote kinachoanzishwa mnakiharibu.ili tu chadema ife na hilo limewashinda ndio maana mnashindwa nikutumia hoja. Mbowe alipokuwa mwenyekiti baada tu ya kuingia Magufuli madarakani kwa mgongo wa...
  3. ndammu

    Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa CHADEMA Kushindwa Kuwa Na Vitega Uchumi Kwa Miaka 34 Na Kuishia Kuombaomba Tu Michango Inayoishia Kutafunwa hovyo

    Na waliomba kuchangiwa ili wachukue formu ya kugombea urais kupitia ccm?
  4. ndammu

    CHADEMA watoa Taarifa kwa Umma kuelezea alichosema Lissu baada ya kukutana na Wakili Kisabo. Adai Uchunguzi huru wa kimataifa kwa matukio ya Oktoba 29

    Tatizo lako unatumia hisia badala ya halisi. Siasa ni nini? Anaepaswa kushabikia Siasa na asiyepaswa ni nani? Asilimia kubwa ya waliouwawa hawakuwa kwenye maandamano.
  5. ndammu

    CHADEMA watoa Taarifa kwa Umma kuelezea alichosema Lissu baada ya kukutana na Wakili Kisabo. Adai Uchunguzi huru wa kimataifa kwa matukio ya Oktoba 29

    Sasa kama katika mauaji yaliyofanywa na ccm hayakukuumiza au kuwapo mwanafamilia yako aliyefikwa ni mauaji huwezi jua maumivu yake. Kwanini mnaogopa uchunguzi huru na wahusika washtakiwa? Si mnasema chadema walihamasisha Sasa hawo chadema ndio wanataka uchunguzi huru ili kama wanahusika...
  6. ndammu

    CHADEMA iwarudishe kina Yericko, Mrema na wengine bila masharti yoyote

    Wachukuliwe huko ccm kwasababu lengo lao la kuwatumia limeshakamilika.
  7. ndammu

    Tetesi: Ni wazi sasa Tundu Lissu amenyoosha mikono juu na kuomba kutolewa Gerezani na kuingia katika meza ya Maridhiano na mazungumzo

    Taja hiyo sehemu aliyosema hayo uliyoandika. Lissu hamna uwezo wa kushindananae bila ya vyombo vya dola.
  8. ndammu

    Ni Wakati wa kumtoa sasa Tundu Lisu

    Sio Samia pekee kiufupi ni ccm yote inamwogopa Lissu maana yeye hutumia hoja na sheria sasa ccm hiyo ligi hawawezi wanachokitaka nikukamata na kushitaki. toka kipindi cha mkapa hadi Samia ni lini walimshinda kwa hoja?
  9. ndammu

    Mahakama ya rufani yairuhusu CHADEMA kuendelea na shughuli za kisiasa nchini

    Mnaiyogopa chadema mpka mliamia kuifungia.
  10. ndammu

    Natangaza Mikutano ya Hadhara ya CHADEMA Jimbo la Kyela kuanzia Ijumaa

    Unaumia sana ndugu. Usijali kila mtu ana haki ya kuishi na kufanya mikutano kama hakuvunja sheria. Mbona mnaumia sana juu ya chadema?
  11. ndammu

    Tundu Lissu anapaswa Aendelee kukaa ndani Mpaka Akili imkae Sawa na Aombe Msamaha Kwa Taifa. Hakuna wa Kumpigania Wala kumtetea Hapa

    Bila ya vyombo vya hakuna mwanaccm awezaye mshinda. Hebu sema toka utawala wa Nyerere ni wapi aliposhitakiwa na kukutwa na hatial Iita ni euro 600 na $8000. Tanzania mpo vizuri kwa wizi
  12. ndammu

    Tundu Lissu anapaswa Aendelee kukaa ndani Mpaka Akili imkae Sawa na Aombe Msamaha Kwa Taifa. Hakuna wa Kumpigania Wala kumtetea Hapa

    Bila ya vyombo vya hakuna mwanaccm awezaye mshinda. Hebu sema toka utawala wa Nyerere ni wapi aliposhitakiwa na kukutwa na hatia.
  13. ndammu

    Heche Ni Muongo. Mafuta Yamepanda Dunia Nzima. Hayajapandishwa na Serikali wala wafanyabiashara

    Kila siku ndio hivyo. Lita moja ni euro ngapi? Rais wa damu.
Back
Top Bottom