Akili zako ni kisoda na hawo wanaendesha hiyo kesi. Kinachokuuma nikuona watu wanaenda kwenye kusikiliza kesi ya uongo. Sasa kama wao hawatumii na kulalamika na wanatumia muda wao hicho kiherehere chako kina faida gani? Umeambiwa wana shida hadi unune?
Na hawa mnaowapelekea malori ya...
Wanaoteka na kuua watu bila ya hatia ndio wanaoitakia mema Tanzania? Tanzania na serikali haramu ndio inajichafua na ijichafue tu. Mnasema Tanzania kuna magaidi watu wakisema mnachukia. Msiwe na pupa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.