Yeye ameshawambia hataki huruma zenu leo mnajifanya kumhurumia kwa lipi alilowaomba? Kashsema mwendelee na kesi hataki huwo ujinga wenu. Wareno wanasema.
"Podes esconder o fogo mas não podes esconder a fumança." kwa tafsiri. Unaweza ukauficha moto lakini huwezi kuuficha moshi wake.
Kwani mlopomkamata na kumfungulia kesi hamkujua kuwa mtaadhirika na ujinga wenu. Kesi muianzishe mwalaumu wengine. Malizani na kesi yenu. Kumbe lengo ni kumshitaki halafu mtake maridhiano feki yasiyonafaida kwake.
Serikali inayokamata watu na kuwafungulia mashitaka ya ugani lengo lake nini? Fursa zinazotozwa na ccm wenyewe kwakukosa akili.
Inachofanya ni kuwakomoa chadema sasa kama ni hivyo wacha tu dunia ijue kama Tanzania kuna ugaidi.
Hili swala la ugaidi anaelitangaza na kulifanyia kazi ni ccm na serikali yake. Kama ni hivyo wacha watu waelezwe kuwa kuna ugaidi ili wageni wawe na tahadhari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.