Recent content by ndammu

  1. ndammu

    JamiiForums Tanzania Mtoto Wa GSM Wa Katoro Alipata Zaidi Ya Billion 1.4 Ndani ya Muda Mfupi Kama Zawadi kwenye Send off Yake Lakini CHADEMA wanahenyeka hadi leo

    Lakni bado mnahainga kuiua na kushindwa kushindana não kwa hoja?
  2. ndammu

    JamiiForums Tanzania Remedy DPP anayoweza kuifanya ni kuiondoa Kesi dhidi ya Lissu Kisha kumkamata tena na ku fix ushahidi wake ambao umetupwa na mahakama zote mbili

    Kama hadi sasa hamjamshinda kupitia mawakili zaidi ya kumi waserikal kwa yeye mmoja hakuna jipya labda kutumia huwo ujinga wenu wa vyombo vya dola.
  3. ndammu

    JamiiForums Tanzania Je kudondoshwa Kwa mawakili wa Serikali takribani 10 na Lissu akiwa peke yake pale court of Appeal ina maana gani?

    Ndipo ulipoishia hii tamthilia yako?
  4. ndammu

    JamiiForums Tanzania Je kudondoshwa Kwa mawakili wa Serikali takribani 10 na Lissu akiwa peke yake pale court of Appeal ina maana gani?

    Unaumia kisa Lissu amewashinda kuongeza ujinga wenu wa kisenge. Hamna uwezo wa kushindana nae.
  5. ndammu

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Rufaa yatupilia Mbali Maombi ya DPP ya Kuongeza Ushahidi Katika Kesi ya Tundu Lissu

    Yeye ameshawambia hataki huruma zenu leo mnajifanya kumhurumia kwa lipi alilowaomba? Kashsema mwendelee na kesi hataki huwo ujinga wenu. Wareno wanasema. "Podes esconder o fogo mas não podes esconder a fumança." kwa tafsiri. Unaweza ukauficha moto lakini huwezi kuuficha moshi wake.
  6. ndammu

    JamiiForums Tanzania Huyo Mwenzao mmoja anayesemwa na Samia kwamba anaendelea kutafakari ni nani na anatokea Chama gani?

    Kwani mlopomkamata na kumfungulia kesi hamkujua kuwa mtaadhirika na ujinga wenu. Kesi muianzishe mwalaumu wengine. Malizani na kesi yenu. Kumbe lengo ni kumshitaki halafu mtake maridhiano feki yasiyonafaida kwake.
  7. ndammu

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Rufaa yatupilia Mbali Maombi ya DPP ya Kuongeza Ushahidi Katika Kesi ya Tundu Lissu

    Nenda kamchape. Kwa hoja hamjamweza labda hizo nguvu za kutotumia sheria ndio mtamweza.
  8. ndammu

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati wanaichafua nchi yetu kuwa siyo sehemu salama kuishi ilihali mama zao wanaishi nchini kwa amani na utulivu bila bughudha na vitisho

    Sawasawa. Wanaharakati wameichafuaje nchi yenu kutokana na ugaidi uliosemwa na serikali?
  9. ndammu

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati wanaichafua nchi yetu kuwa siyo sehemu salama kuishi ilihali mama zao wanaishi nchini kwa amani na utulivu bila bughudha na vitisho

    Basi kwa vile mmeshasema kuna ugaidi hakuna aliyewachafua bali ni ccm ndio wamejichafua. Jamani Tanzania kuna ugaidi wageni wasije mtapata matatizo.
  10. ndammu

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati wanaichafua nchi yetu kuwa siyo sehemu salama kuishi ilihali mama zao wanaishi nchini kwa amani na utulivu bila bughudha na vitisho

    Kwani aliyesema Tanzania kuna agaidi ni wanaharakati?
  11. ndammu

    JamiiForums Tanzania From Ukonga Prison: Tundu Lissu atoa taarifa kuwa yupo katika tishio la kuuawa!!

    Lissu ili mumweze ni kutumia hizo policcm na sio hoja.
  12. ndammu

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Serikali inayokamata watu na kuwafungulia mashitaka ya ugani lengo lake nini? Fursa zinazotozwa na ccm wenyewe kwakukosa akili. Inachofanya ni kuwakomoa chadema sasa kama ni hivyo wacha tu dunia ijue kama Tanzania kuna ugaidi.
  13. ndammu

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Hili swala la ugaidi anaelitangaza na kulifanyia kazi ni ccm na serikali yake. Kama ni hivyo wacha watu waelezwe kuwa kuna ugaidi ili wageni wawe na tahadhari.
  14. ndammu

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Chadema wakae mezani wamekosea wapi wanapohitaji kurekebisha? Chadema wanapaswa kuwatumikia wananchi ndio wanaokusanya kodi? Ni lini Chadema walioumiza wananchi?
  15. ndammu

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Kukiwa na ugaidi ni kitu gani kinachokwenda sawa? Makosa wafanye ccm malalamiko wapewe chadema.
Back
Top Bottom