Hayo ni miongoni mwa maovu ya ccm wanayoyafanya dhidi ya chadema. Sarakasi zote wanazofanyiwa chadema ni ccm ndio waratibu wa maovu. Kila baya mtalisema kwa namna yake. Na ndio siku zote nasema ccm bila ya hila ya vyombo vya dola na taasisi zingine uwezo wa kushindana na chadema hawana.
Kila siku mnasema chadema imekufa. Leo mnalalamika wanafanya mikutano mnachukia yote hayo. Mnayoyataka hasa ni yepi? Maana yake uwezo wa chadema ni mkubwa. Ccm bila ya vyombo vya dola inawezakushindana na chadema katika kipengele kipi hasa?
Kabla ya Magufuli kuwa raisi sema ni wapi alipotumia na kufanya ujasiri? Ujasiri wa Magufuli umekuja kwa sababu ya vyombo vya dola na sio chengine na wala nje ya hapo hakuna sehemu alionesha ujasiri wake. Sema ni nani aliye ccm nje ya uraisi anaweza kupingana na serikali?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.