Recent content by ndammu

  1. ndammu

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Unatoa mawaidha kumbe unajua hilo. waliouliwa tarehe 29 october kwa maagizo ya rais walikuwa wanahaki ya kuishi pia.
  2. ndammu

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Kwahiyo ana dini yake kwamba afuate matakwa yake kwamba ni raisi? ?
  3. ndammu

    JamiiForums Tanzania LIVE Kesi ya Uhaini: Lissu na Mashahidi wake kuendelea kutoa ushahidi Mahakamani

    Hivi hawa unawajua?
  4. ndammu

    JamiiForums Tanzania LIVE Kesi ya Uhaini: Lissu na Mashahidi wake kuendelea kutoa ushahidi Mahakamani

    Wanaenda ili waonekane hivyo unavyotaka. Na wewe unaandika uonekane kama unaandika.
  5. ndammu

    JamiiForums Tanzania Kwenye kesi ya Lissu waende mashahidi tu nao siyo lazima: wewe siyo wakili unaenda kufanya nini na una familia acheni uzurulaji tafuteni hela.

    Akili zako ni kisoda na hawo wanaendesha hiyo kesi. Kinachokuuma nikuona watu wanaenda kwenye kusikiliza kesi ya uongo. Sasa kama wao hawatumii na kulalamika na wanatumia muda wao hicho kiherehere chako kina faida gani? Umeambiwa wana shida hadi unune? Na hawa mnaowapelekea malori ya...
  6. ndammu

    JamiiForums Tanzania Kwenye kesi ya Lissu waende mashahidi tu nao siyo lazima: wewe siyo wakili unaenda kufanya nini na una familia acheni uzurulaji tafuteni hela.

    Kinachokuuma ni kitu gani? Wacha chuki hujaombwa na mtu yoyote kwasababu ya kwenda mahakamani.
  7. ndammu

    JamiiForums Tanzania Vipi ICC kunaendeleaje? Ninawaonya wapinzani, hamtafanikiwa kuiharibu Tanzania kwa maslahi yenu.

    Wanaoteka na kuua watu bila ya hatia ndio wanaoitakia mema Tanzania? Tanzania na serikali haramu ndio inajichafua na ijichafue tu. Mnasema Tanzania kuna magaidi watu wakisema mnachukia. Msiwe na pupa.
  8. ndammu

    JamiiForums Tanzania Kwenye kesi ya Lissu waende mashahidi tu nao siyo lazima: wewe siyo wakili unaenda kufanya nini na una familia acheni uzurulaji tafuteni hela.

    Kifungu gani kinataza watu wasiende mahakamani kusikiliza kesi au ni utashi wako kwa sababu unaumia?
  9. ndammu

    JamiiForums Tanzania Kwenye kesi ya Lissu waende mashahidi tu nao siyo lazima: wewe siyo wakili unaenda kufanya nini na una familia acheni uzurulaji tafuteni hela.

    Sikila unaemwona kwamba hatafuti hicho unachokilalamikia. Kamata lako linalowahusu.
Back
Top Bottom