Recent content by ndammu

  1. ndammu

    Kesho naagiza simu original China kama unataka kuagiza?

    Samahani. Hizi simu za Samsung ni made in china au ni Korea huko ni soko tu lá kuuzia?
  2. ndammu

    Russia mbioni kufanya shambulio kubwa katika historia

    Kwa vile urusi ameuwa raia wengi wasio na hatia huko Ukraine na anaendelea na kuharibu nchi ya watu hata likipigwa bomu na kuuwawa 200 Urusi fresh tu. Ugaidi ukifanyika urusi anaoufanya yeye kwenye nchi yá watu (Ukraine) ni utafiti.
  3. ndammu

    Karibuni kwa bidhaa mbalimbali za household na mapambo

    Carpet bei gani? Una aí na gani za carpetes?
  4. ndammu

    Zanzibar uchafu ni utamaduni?

    Hayo mengine sikweli kwamba maji aliyorowekea nguo ndio Hayo anatomia kuoshea vyombo.
  5. ndammu

    Kuzuia kongamano la wanaharakati Mwanza ni udhaifa kwa CCM na Serikali

    Ccm bila policcm na vyombo vyegine vya dola hamna chama.
  6. ndammu

    Putin atoa agizo kwa kila raia nchini Urusi kujiweka tayari kwa kushiriki nuclear war drills

    Hebu tupe vikabrasha ulivyosoma na sisi tujifunze vinavyosema ni dakika 5 kuipiga uingereza kwa nyuklia na 30 kuipiga urusI kwa kuitoa uengereza.
  7. ndammu

    Wadukuzi wa Ukraine wadukua mfumo wa Urusi na kupata taarifa zote za safari za ndege

    Drone zinazoruhusiwa kuingia Ukraine ni za urusi tu?
  8. ndammu

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Ukraine anaposhambuliwa hana haki ya kujilinda na kupiga pale panapohitajika? Au hiyo rules of engagement inataka mshambuliwaji akae tu?
  9. ndammu

    Vikosi vya Ukraine vyaukomboa mji wa bakhumut

    Hivi wanaosapoti urusi wanajua Kirusi?
  10. ndammu

    Vikosi vya Ukraine vyaukomboa mji wa bakhumut

    Ukiona mwenzako analeta uongo wewe lete ukweli.
  11. ndammu

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Kwani hawo Kwani hao Urusi matarajio yao ni yapi wanapomshambulia Ukraine?
Back
Top Bottom