Recent content by ndai

  1. N

    Siri Nzito UKAWA: Kigogo CHADEMA atoboa ni shinikizo toka Ulaya afichua Mbowe kuwaponda CUF na NCCR

    ccm mnajua kupanga maneno, na wachach kweny kiteng cha usalama wanajitahd kutuliza hali, lakn mtambue sis vijana weng wet ist degree, tunawajua vyema ccm na mbinu zenu chafu! i am sure mtafeli 2, mana mnashndana na akili za wasomi hali yakua hamjui! awoon interahamwe!
  2. N

    Kwanini watu wa visiwa vya Zanzibar hawajitambui kuwa ni watanzania?

    ndugu zangu wana jamii! kwanza ifahamik kua tanzania sio nchi bali ni muungano. kwa mantik hiyo, hakuna tanzania bali kuna mtanganyk na zanzibar, mm mwenyewe rais wang ni shein na nch yang ni zanz! mtanganyka anapokataa utaifa wake manake nin? swali wanajamii,
  3. N

    Kweli CCM hamjui yaliyojificha!!

    nitakuja mkuu, sisi uku tunafatilia yani kwa kila kitu, ccm na katiba ya kiini macho, evry thng, UKAWA have a power"
  4. N

    Kweli CCM hamjui yaliyojificha!!

    sisi huku tuliko tunajua evry thng, mchakato wa katiba yani atukosi! ccm wajue wanawaki mgumu! nakuja mwanzoni mwishoni! i missed my mum and friends of fidel castro high school!
  5. N

    Kweli CCM hamjui yaliyojificha!!

    "you have hit a nail on a head" nipo mombasa mkuu, uku tunanyanyaswa wanatuona wasomali
  6. N

    Kweli CCM hamjui yaliyojificha!!

    Wadau! Kuna baadhi ya watu hasa CCM, wanajifanya hawajui kuwa wamefanya mengi maovu, hawajui watu wamechoka, hawajui kuwa Tanzania hakuna amani bali uoga, kidogo niwambie kuwa, wapo vijana wa kitanganyika na Zanzibar ambao wamepanguka, wameshakata tamaa na wako tayar kujiunga na harakati za...
  7. N

    CUF yafanya mabadiliko ya Katiba ili kuungana na CHADEMA na NCCR

    Mm Naomba Iwe Mwanzo Tu, Kuwe Na Umoja Haswa! Kwanza Tuwaondoe Ccm Then, Mamlaka Kamili Ya Zanzibar Na Tanganyika!
  8. N

    Je, unafahamu hili juu ya Zanzibar?

    swadakta mkuu, makafir daima hawapendi munayoyafanya! wanafanya kila mbinu kuwalaghai! kuna mazingatio kwa mwenye kujua!
  9. N

    Je, unafahamu hili juu ya Zanzibar?

    mkuu pasco "soma" usiburuzwe! ivi unajua kua zanzibar iliandaliwa iungane na kenya kwa mbinu za kijasusi, distance ndo ilikua criteria ya zanzibar kuungana na tanganyika? ivi unajua visiwan kokote duniani ni tajiri by nature? refer island biogeography and spp richness! rudi chuo pasco!
  10. N

    Je, unafahamu hili juu ya Zanzibar?

    Source: Encyclopedia+harakati
  11. N

    Je, unafahamu hili juu ya Zanzibar?

    Wadau, Amani Iwe Juu Yenu, Nimekua Nikifatilia Michango Mbalimbali Ndani Na Nje Ya Tanzania. Binafsi Napenda Siasa Na Harakat Zake, Kuna Kitu Kimejificha Na Hakisemwi Kuhusu Zanzibar! Jambo Lenyewe Ni Kua Kihistoria Znz Ilikua Nchi Ilopiga Hatua Africa Masharik, Wakat Huo Hata Kabla Ya Ujio Wa...
  12. N

    Vijana wanaharakati na wasomi tuna nafasi gani kwa upinzani 2015?

    Wadau, Nchi Yetu Ni Dhahir Sasa Imegawika, Makundi Ya Kisiasa Yanazid Kuibuka Ndani Ya Chama Tawala Na Vyama Pinzani Pia. Ikumbukwe Kua Kuna Kundi Kubwa La Vijana Walo Hitimu Vyuo Mbalimbali Hapa Nchini, Na Ni Dhahiri Kua Vijana Hao Wanashirik Kikamilifu Kupigania Kile Kinachoitwa "Uhuru Wa...
  13. N

    Harakati zimeanza CWT, walimu amkeni!

    ngoja mwenyekiti atatupia vizur! leo jion tunakutana, usihofu mkuu!
  14. N

    Harakati zimeanza CWT, walimu amkeni!

    Kuna Ufisadi Mkubwa CWT, naomb wabunge waligusie
  15. N

    Jussa arekebishe macho haoni vizuri

    Acha Uongo, Ujui Kitu, Mapinduz Yalikua Ni Mauaji Ya Waislam Na Waarabu, Sisi Wazanzibar Tunajua Yaliyotokea! Kuhusu Zanzibar Na Mamlaka Kamili C Jambo La Jussa Na Maalim Tu! Sote Tunajua Ili Haki Yet Ipatikane Kisheria! Tanganyika Ivue Koti La Muungano! Apo Unamlaumu Jussa Na Maalim Wamekosa...
Back
Top Bottom