Recent content by Ndahani

  1. Ndahani

    Hatimaye tapeli sugu wa viwanja nchini atiwa nguvuni

    🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
  2. Ndahani

    Buriani Rashid Mbuguni, Mzalendo aliyedhulumiwa kiwanda amekufa hajaona haki

    Likaunganishwe na bandari...Maana Mama anasema ana mitihani migumu sana
  3. Ndahani

    Rais Samia: Mungu kanipa mtihani si haba

    Nchi ngumu sana hii😀😀😀😀😀😀
  4. Ndahani

    Rais Samia: Mungu kanipa mtihani si haba

    Obvious mambo unayopambana nayo ni magumu kweli kweli. Mtegemee Mwenyezi Mungu kuliko awaye yoyote ili akupe hekima ya kuongoza watu wake.Msikilize maana sauti yake inakuongoza kwenye mema, hapa duniani na hata peponi. Uongozi ni jambo gumu sana...narudia maneno kutoka kitabu cha Mwalimu Nyerere...
  5. Ndahani

    Loose ends Kifo cha Martha Towo

    Cheque ya bilioni moja sio Cheque ya kitoto. Kama ndio zile wanazocheza za fraud, inaweza kuwa
  6. Ndahani

    Loose ends Kifo cha Martha Towo

    Wanaandikiana zile za mabango. Huwa haziwezi kupita counter
  7. Ndahani

    Loose ends Kifo cha Martha Towo

    Angalia usijekutuongoza kwenye hiyo dhahama
  8. Ndahani

    Loose ends Kifo cha Martha Towo

    Na wengine hela zao ni za kutoa makafala. Ukila bila utaratibu unatolewa sadaka
  9. Ndahani

    Loose ends Kifo cha Martha Towo

    Raha gani? Kukata mikono watu na kupiga mawe wazinzi?
  10. Ndahani

    Loose ends Kifo cha Martha Towo

    Bank zina watu wanaoiba kwa kalamu. Uhalifu wa balaa
Back
Top Bottom