Obvious mambo unayopambana nayo ni magumu kweli kweli. Mtegemee Mwenyezi Mungu kuliko awaye yoyote ili akupe hekima ya kuongoza watu wake.Msikilize maana sauti yake inakuongoza kwenye mema, hapa duniani na hata peponi.
Uongozi ni jambo gumu sana...narudia maneno kutoka kitabu cha Mwalimu Nyerere...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.