Recent content by Ndahani

  1. Ndahani

    Hivi Tundu Lissu kwa sasa anafanya shughuli gani ya kumuingizia kipato inayoweza kumfanya akisaidie hata Chama Kama ilivyo kwa Mwamba?

    Hii swali imekaa nzuri. Yeye anashinda mitandaoni, halafu anauliza wenzake wanafanya kazi gani. Kama sio kuchanganyikiwa itakuwa nini? Halafu pilipili usiyoila inakuwashia nini?
  2. Ndahani

    Nimelia sana na bado ninalia sana kwa kifo cha Esther Mahawe. Huyu Mama ameniuma sanaa

    :cool::cool::cool::cool::cool:. Yes na jirani. Alishushwa kwa lazima kwenye basi. Na kifo ni kifo tu
  3. Ndahani

    Nimelia sana na bado ninalia sana kwa kifo cha Esther Mahawe. Huyu Mama ameniuma sanaa

    Pole sana. Ila mnasema kifo ni kifo tu. Kwahiyo kwanini kimekuhuzunisha wakati falsafa ya kifo ni kifo inaendelea kutumika?
  4. Ndahani

    Dada Maria Sarungi sijakuelewa zaidi hapa nakuomba unifafanulie kwa kina tafadhali ili wenye 'IQ' kubwa tukuelewe

    IQ kubwa mnapimaje? Na mnapimwa mtaa gani au hospitali gani? Au ni self declared status? Na inasaidia nini katika ulimwengu wetu huu?
  5. Ndahani

    DC Godwin Gondwe awapigia magoti Wananchi Munkhola akisisitiza waondoke hifadhi ya Msitu

    Tusipojifunza kutii sheria na taratibu tutangeneza Taifa la hovyo sana. Kama kuna kitu kinanikera na najiuliza imekuwaje, ni hii tabia ya magari ya umma kupita barabarani bila kujari sheria na taratibu. Taa nyekundu zinawaka halafu wao wanajiona kama haziwahusu, hata kama watasababisha ajari...
  6. Ndahani

    Rais Samia hapa ulikosea kidogo na sijui ni nani alikujaza Upepo na ukalisema hili

    Watu nyie wabad sana...mnataka kumdanganya..eti Jemedari wa Kizimkazi:oops::oops::oops::oops:
  7. Ndahani

    Aliuawa Mwangosi haikusemwa Rais Must Go, akauawa Mawazo haikusemwa Rais Must Go na hata alivyoshambuliwa Lissu. Nadhani Hoja iko hapo!

    Times change. No more experiments.Kama mtu hakui na kujifunza, huwa inatokea nini? Worldover, that is the price all leaders pay, when shit happens
  8. Ndahani

    Utekaji unavyofanyika hatua kwa hatua

    Ila pia kuna watu wana akili zao hawataki wajinga watuletee tabu halafu nchi iharibike. Wanasema ukweli. Ingawa ukweli mpaka ueleweke inachukua muda mara nyingine. Naamini tunaanza kujivua gamba. Tutaanza kuchagua viongozi kwa kuangalia uwezo wao na sio sura zao. Sura zimetudanganya...
  9. Ndahani

    GE2015 Apson awatumia kina Bashe kuwachafua Membe na Jack Gotham

    Time flies fast...before we know, we will be facing eternity. We don't last forever
  10. Ndahani

    Kuhusu kuuawa Hayati Mzee Ali Kibao, Mwandishi nguli wa Habari za Uchunguzi Bollen Ngetti ameandika haya, inafikirisha!

    Huyu mwandishi ameandika kitu gani? Kwa taaluma ni muandishi wa habari au muandishi wa udaku? Mbona haeleweki anasema nini?
  11. Ndahani

    Joseph Butiku: Vyombo vya Ulinzi na Usalama visijifanye havijui mambo yanayoendelea nchini

    Mwalimu Nyerere, hakuwa wa kawaida. Anachokisema hapo si kitu kidogo. Anasema ukweli kuhusu unafiki wetu. Christians have made a mess in this world, or rather people who worship other gods and claim to be the christians. Ingawa, Nicaragua pia, liberation theology imefeli. Ujinga wa ukomunisti...
  12. Ndahani

    Joseph Butiku: Vyombo vya Ulinzi na Usalama visijifanye havijui mambo yanayoendelea nchini

    Kuna nani sasa? Kivuli cha mtu msomi?😂😂😂😂😂😂
  13. Ndahani

    Joseph Butiku: Vyombo vya Ulinzi na Usalama visijifanye havijui mambo yanayoendelea nchini

    Tatizo limekuwepo muda mrefu. Nakumbuka Iringa aliwahi kuuwawa muandishi wa habari anaitwa Mwangosi. Sababu za kijinga kijinga tu
Back
Top Bottom