Recent content by Nchiyangu_furahayangu

  1. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Dkt Samia Suluhu Hassan Mkoani Njombe kwenye Kampeni za uchaguzi

    RAIS DKT. SAMIA AWASHA MOTO WA MATUMAINI MAKAMBAKO Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 6 Septemba 2025 ameendelea kuonesha uongozi thabiti na dira ya maendeleo alipohutubia maelfu ya wananchi wa Makambako...
  2. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    Jengo la Mama na Mtoto, Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya (Meta) Ni miongoni mwa majengo mapya yaliyojengwa katika hospitali 7 za kanda nchini, likiwa na vifaa vya kisasa kwa ajili ya huduma za mama na mtoto. Jengo hili si tu linapanua upatikanaji wa huduma bora za afya, bali pia ni kielelezo...
  3. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Septemba 04, 2025, ameendelea na mikutano yake ya kampeni katika Mkoa wa Songwe. Akiwa Mlowo, Jimbo la Mbozi, alilakiwa na wananchi waliokusanyika kwenye viwanja vya mkutano, wengi wao wakiwa...
  4. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    HODI HODI SONGWE🥳🥳 Wakulima 109,373 mkoani Songwe tayari wamenufaika na mbolea ya ruzuku yenye thamani ya Tsh. Bilioni 75.14 iliyotolewa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Dkt. Samia. Matokeo yake? ✅ Gharama zimeshuka ✅ Uzalishaji umeongezeka ✅ Ajira mpya zimeibuka ✅ Kipato cha...
  5. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan haikuacha sekta yoyote nyuma; imegusa kila eneo la maendeleo ya nchi yetu. Tanzania tunajivunia na kutamba naye, na tunaahidi kumpa kura za ndiyo tena ifikapo Oktoba. Kwa kazi na utu, tutaendelea kusonga mbele...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    MAFANIKIO YALIOPATIKANA KATIKA SEKTA YA ELIMU KWENYE SERIKALI YA AWAMU YA SITA CHINI YA UONGOZI WA RAIS MHE DKT SAMIA SULUHU HASSAN - (DODOMA) 1️⃣ Miundombinu: Shule mpya za msingi 302, sekondari 2,254, vyumba vya madarasa 4,043, maabara 132, makazi ya walimu 253, vyoo 20,901, na dormitories...
  7. N

    JamiiForums Tanzania Polepole anahitaji msaada wa matibabu kuliko kumshangaa

    Hoja gani Unataka nikujibu
  8. N

    JamiiForums Tanzania Polepole anahitaji msaada wa matibabu kuliko kumshangaa

    Niulize Unataka Hoja gani nikujibu
  9. N

    JamiiForums Tanzania Polepole anahitaji msaada wa matibabu kuliko kumshangaa

    POLEPOLE ANAHITAJI MSAADA WA MATIBABU KULIKO KUMSHANGAA Hivi sasa idadi kubwa ya Watu wameamua kumpuuza polepole kwa kile anachokisema na kukirusha kwenye mitandao kila siku,Sababu ya Wananchi kumpuuza ni kutokana na historia yake wakati wa serikali ya Magufuli Kwanini Polepole hakumshauri...
  10. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kwa namna Kibaigwa ilivyofurika mkutano wa kampeni, tumtarajie kaka kuitisha press saa tatu usiku

    Shalom shalom Mimi Sina neno zaidi ya kumuomba tu Oktoba 29/10/2025 usikae nyumbani hakikisha unaenda kupiga Kura, Kura ni haki yako Kama mtanzania na Usisahau kutunza amani ya Nchi yako
  11. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kwa namna Kibaigwa ilivyofurika mkutano wa kampeni, tumtarajie kaka kuitisha press saa tatu usiku

    Zinaongea mpaka vichwa vyao vinauma Wacha waendelee kupiga kelele mitandaoni Ila sisi Kazi inaendelea, Oktoba tunatiki ✅
Back
Top Bottom