tokea niwe na akili zangu nikajitambua nikasoma nikamaliza hakuna shida niliyokuwa ninaipata kama hii ya kuangalia matokeo yeyote kupitia website zenu. niliamini ninyi ndio mlitakiwa muwe kwanza katika teknolojia ya habari na mawasiliano.
(enyi wizara ya elimu, sayansi, teknolojia na ufundi)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.