Recent content by Nazgur

  1. Nazgur

    Dk. Bashiru alikuwa wapi? Na hata sasa mbona hawasemei waliokuwa wanatekwa na kupigwa risasi enzi za Awamu ya Tano? Na wao mazuzu wanataka enzi irudi

    We huyo uandike na uwe wa kwanza kuchangia, kuchangia mada kwa Nini usiache wenginewachangie kwanza?
  2. Nazgur

    Huyu ndio Rais wa wanyonge sasa siyo yule anajisifu tu wakati wanyonge wanakufa njaa au kutekwa

    Wewe unaishi wapi huko ambako hujui faida ya umeme?
  3. Nazgur

    Chuki na uchochezi wa Dr. Bashiru Ally kwa serikali ya Rais Samia

    Kuna haja ya kujadili kipindi akiwa kwenye nafasi au tujadili hoja na hawa wakulima wanapate haki yao bila kunyonywa? Je watanzania tutajikomboa kutoka kwa mafisadi kwa akili hizi tunazotumia kweli? tutabaki kujadili yaliyopita badala ya nini tuamue kwa sasa na muda haurudi nyuma. Tutaumia...
  4. Nazgur

    Kama hizi ndio sababu za jina la Mpina kukatwa NEC

    Hata hao sumaye na wenzake bado ikitokea chama chenye nguvu wataulaza tena. Wapo tu CCm kwa mapumziko.
  5. Nazgur

    Ni wakati wa kususia taarifa zote kutoka kwa Waziri wa Nishati January Makamba

    Alikula mkataba na wahindi wa 70 bilion za ufanisi wa tanesco, nadhani hiyo laki nane ndo matokeo ya ufanisi wa hiyo mikataba. Tulidhani ufanisi utapunguza bei kumbe ndo unapandisha bei.
  6. Nazgur

    Mkurugenzi wa Bandari alikuwa sikio la kufa lisilosikia dawa

    Kumtoa mkurugenzi pekee bila kuwatoa wale wanaofanya hivyo ni kujidanganya labda kama anamtoa kafara. Hata atakae kuja atapata shida badala ya kutafuta mipango mipya yeye atabaki kuwa malinzi iki asiibiwe au asihujumiwe na hao waliobaki
  7. Nazgur

    Oman: Rais Samia ataka kuwepo Maritime transport ya kusafirishia Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman

    Kwa hiyo haya machinjio mliyojenga yatafanya kazi gani? Nilidhani mnauza mali zilizichakatwa kumbe sasa hata viwanda havitakiwi, Malighafi ziwe zinaenda bila kuongezwa thamani? Kazi ipo bado.
  8. Nazgur

    Zitto awajibu Maria na Mshaba akiwahusisha na 'Udini'

    Kwa sasa anawapima mijadala yenu kisha ata ibuka na kusema kuwa si yeye
  9. Nazgur

    Rais Putin aihakikishia Afrika kuilinda kwa Chakula na Mbolea. Asema Russia na Afrika ni marafiki wa Kufa na Kupona!

    Sasa kama ni lafiki wa afrika si atuletee mafuta ya bei nafuu mambo ya mbolea yatajipa unafuu yenyewe, Kama alitaka kuyauza india kwa pipa dola 30-35 si atuuzie sisi hiyo bei aone kama hatuendi kumsaidia vita hukohata kupigana tu?
  10. Nazgur

    Nani yupo nyuma ya Uhuni huu kwa Sabaya?

    Bwana yako ndo kamwambia.
  11. Nazgur

    Mbunge Shabiby ahoji utaratibu unaotumika kufungua nchi, atahadharisha Tanzania kugeuka shamba la bibi

    Wewe unaebisha una lipi la ziada kuhusu hiyo hoja. Na kama kaongea uongo lete facts
  12. Nazgur

    Rais Samia amewezaje kubadili upepo wa DART kutoka kupata hasara hadi faida mara 100%?

    Wamenunu Wamenunua magari mangapi waliyo ongeza?
  13. Nazgur

    Siasa mbovu za Tanzania zimewaacha vijana wasomi wamepauka

    Kwa hiyo hata usomi wao hauwasaidii kujitafitia ajira wanazidiwa na wale ambao hawakusoma na wanapambana na maisha bila elimu na wana ng'aa? Hawana elimu na hawasubili ajira za serikali. Lakini wenye elimu wanapauka kwa kukosa maalifa ya kujitafutia ingawa wame elimishwa.
Back
Top Bottom