Recent content by Naxria abdalla

  1. Naxria abdalla

    Je, hii ni dalili ya kuwa na Presha?

    Umeniambia niachane na wanga nile sembe kdg kwani sembe sio wanga?nauliza nipate ujuzi kdg
  2. Naxria abdalla

    Je, hii ni dalili ya kuwa na Presha?

    samahani sasa mtu akiwa na dalili ya kizunguzungu kweli ataweza kufanya mazoezi?
  3. Naxria abdalla

    Je, hii ni dalili ya kuwa na Presha?

    Izi mboga ziwe za kuchemsha tu au ata ukiweka nazi
  4. Naxria abdalla

    Je, hii ni dalili ya kuwa na Presha?

    BMI ndio kipimo gani
  5. Naxria abdalla

    Je, hii ni dalili ya kuwa na Presha?

    Apo kwenye mlo sahihi mm ndio nataka sasa naitaji ivyo vyakula vuzuri na vibaya ili niweze kuvipanga
  6. Naxria abdalla

    Je, hii ni dalili ya kuwa na Presha?

    Hakuna presha kwa familia,kuwaza nawaza ila sio kuwaza kama ivo ulivyokusudia kwamba jambo linanipa stress sana hapana,30
  7. Naxria abdalla

    Je, hii ni dalili ya kuwa na Presha?

    Ni dalili ndio zimenipeleka pale miguu kuwaka moto,kutembea kdg tu magotini munachoka unahisi sasa naanguka
  8. Naxria abdalla

    Je, hii ni dalili ya kuwa na Presha?

    Naomba nielewesheni pole pole bila kunigombeza kwanini ndani ya siku 4 presha yangu imebadilika hivi? Je, hapa ndo mtu anakuwa tayari ni muhanga wa presha? Sijaonana na daktari nimepima tu kujua hali yangu kuna vidalili ziliniogopeshanifanyeje niishushe ili nirudi kawaida
  9. Naxria abdalla

    Nimetumia dawa za H-pylori kwa wiki moja ili sipati ahueni, naomba msaada wa dawa

    Naanzisha kwa simu yangu na bando langu usinilazimishe nikujibu ujinga plz huwezi kuchangia bs sijakuforce
  10. Naxria abdalla

    Nimetumia dawa za H-pylori kwa wiki moja ili sipati ahueni, naomba msaada wa dawa

    Apo kwenye mitishamba ndio penyewe kwa faida ya wengi tuelekeze izo za mitishamba
Back
Top Bottom