Recent content by Naxria abdalla

  1. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu ulaji wa dawa za presha

    Je, unaweza kutumia dawa za presha halafu ukikaa sawa ukaacha kutumia hizo dawa au ndio unatakiwa utumie maisha yako yote, hata kama kipindi ambacho umekaa sawa
  2. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Moyo kwenda mbio na kusikia kelele Masikioni

    Yaani apo nimejieleza vizuri tu na bado naulizwa swali aiseee
  3. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Moyo kwenda mbio na kusikia kelele Masikioni

    Sante sana ubarikiwe
  4. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Moyo kwenda mbio na kusikia kelele Masikioni

    Habri za siku nyingi vipendhy nimerudi tena mgonjwa wenu baadhi ya siku napatwa na hali ya moyo kwenda mbio sana na maskio km yanalia ziiiiiiii na nilishawahi kupima ecg nikaambiwa ipo normal kitu gan natakiwa nipime tena mana hii hali inajirejea naweza kukaa siku 6 ya 7 nikapata iyo hali mda...
  5. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Tatizo la wingi wa damu

    Kwani daktari anapatikana wapi jamani
  6. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Tatizo la wingi wa damu

    Pole kipendhy maisha ndio yalivyo mm nataka ipungue ww unataka kuongeza
  7. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Tatizo la wingi wa damu

    Natumai hamjambo, nina tatizo la damu nyingi mwilini. Pia damu ni chafu, naomba maelekezo nini cha kufanya niweze kupunguza damu mwenyewe kabla sijaenda kuchangia. Ahsanteni. ===== UFUATILIAJI WA JAMIICHECK
  8. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Nimezaliwa Pemba nimekulia DAR(Faida ya Muungano)

    Ni faida moja wapo sasa ingekuwa sio muungano ningekulia vp dar we nawe ka toto
  9. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Nimezaliwa Pemba nimekulia DAR(Faida ya Muungano)

  10. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Naomba maelekezo mafupi ya kufika Mwanza

    Sina uwezo wa ndege😁😁
  11. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Naomba maelekezo mafupi ya kufika Mwanza

    Natokea zanzibar kwa iyo nitaondokea dar
  12. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Naomba maelekezo mafupi ya kufika Mwanza

    😂😂😂staki kesi na polisi
  13. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Naomba maelekezo mafupi ya kufika Mwanza

    Zanzibar
  14. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Naomba maelekezo mafupi ya kufika Mwanza

    Habari zenu wapenzi husika na mada apo juu nahitaji kwenda mwanza sijawahi fika uwo mkoa naitaji kujua bei ya bus na kampuni gani nzuri ambayo nitafurahia safari yangu.
Back
Top Bottom