Habari zenu nategemea mpo salama naomba kueleweshwa kitu
Hivi unaweza kutumia dawa za presha na ukakaa sawa?
Namaanisha unaweza kutumia dawa bila kuacha na maisha yakaendelea kama kawaida?
Je, unaweza kutumia dawa za presha halafu ukikaa sawa ukaacha kutumia hizo dawa au ndio unatakiwa utumie maisha yako yote, hata kama kipindi ambacho umekaa sawa
Habri za siku nyingi vipendhy nimerudi tena mgonjwa wenu baadhi ya siku napatwa na hali ya moyo kwenda mbio sana na maskio km yanalia ziiiiiiii na nilishawahi kupima ecg nikaambiwa ipo normal kitu gan natakiwa nipime tena mana hii hali inajirejea naweza kukaa siku 6 ya 7 nikapata iyo hali mda...
Natumai hamjambo, nina tatizo la damu nyingi mwilini. Pia damu ni chafu, naomba maelekezo nini cha kufanya niweze kupunguza damu mwenyewe kabla sijaenda kuchangia.
Ahsanteni.
=====
UFUATILIAJI WA JAMIICHECK
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.