Recent content by Naxria abdalla

  1. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Naomba kueleweshwa jambo hili kuhusu matumizi ya dawa za Presha

    Kabisa kabisa nimeelewa sana zaidi ya sana
  2. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Naomba kueleweshwa jambo hili kuhusu matumizi ya dawa za Presha

    Sio tatizo kuzeeka nazo ninachouliza zinasaidia japo kdg
  3. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Naomba kueleweshwa jambo hili kuhusu matumizi ya dawa za Presha

    Hujaelewa kipi?
  4. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Naomba kueleweshwa jambo hili kuhusu matumizi ya dawa za Presha

    Yeah naona mazonge tu
  5. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Naomba kueleweshwa jambo hili kuhusu matumizi ya dawa za Presha

    Habari zenu nategemea mpo salama naomba kueleweshwa kitu Hivi unaweza kutumia dawa za presha na ukakaa sawa? Namaanisha unaweza kutumia dawa bila kuacha na maisha yakaendelea kama kawaida?
  6. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu ulaji wa dawa za presha

    Je, unaweza kutumia dawa za presha halafu ukikaa sawa ukaacha kutumia hizo dawa au ndio unatakiwa utumie maisha yako yote, hata kama kipindi ambacho umekaa sawa
  7. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Moyo kwenda mbio na kusikia kelele Masikioni

    Yaani apo nimejieleza vizuri tu na bado naulizwa swali aiseee
  8. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Moyo kwenda mbio na kusikia kelele Masikioni

    Sante sana ubarikiwe
  9. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Moyo kwenda mbio na kusikia kelele Masikioni

    Habri za siku nyingi vipendhy nimerudi tena mgonjwa wenu baadhi ya siku napatwa na hali ya moyo kwenda mbio sana na maskio km yanalia ziiiiiiii na nilishawahi kupima ecg nikaambiwa ipo normal kitu gan natakiwa nipime tena mana hii hali inajirejea naweza kukaa siku 6 ya 7 nikapata iyo hali mda...
  10. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Tatizo la wingi wa damu

    Kwani daktari anapatikana wapi jamani
  11. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Tatizo la wingi wa damu

    Pole kipendhy maisha ndio yalivyo mm nataka ipungue ww unataka kuongeza
  12. Naxria abdalla

    JamiiForums Tanzania Tatizo la wingi wa damu

    Natumai hamjambo, nina tatizo la damu nyingi mwilini. Pia damu ni chafu, naomba maelekezo nini cha kufanya niweze kupunguza damu mwenyewe kabla sijaenda kuchangia. Ahsanteni. ===== UFUATILIAJI WA JAMIICHECK
Back
Top Bottom