Recent content by Naushin

  1. Naushin

    Msaada: Sina moyo wa kupenda, nifanye nini?

    Habari zenu, Nina matatizo ya kutopenda na hata nikipenda mwanaume napenda kwa siku 2 tu baada ya hapo namwambia tuachane sikupendi na kweli moyoni nahisi hasira, chuki juu yake na kumuona havutii. Nimechoshwa na hii hali kuna mwenye kujua tiba maana natamani kupenda, natamani kutulia na...
Back
Top Bottom